Pre GE2025 Uchaguzi Chadema: Mbowe anasema wapigaji kura watahojiwa mmoja baada ya Mwingine

Pre GE2025 Uchaguzi Chadema: Mbowe anasema wapigaji kura watahojiwa mmoja baada ya Mwingine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

KAteme

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
483
Reaction score
907
Akihojiwa na Kikeke nimemsikia Mbowe akisisitiza kwamba wapiga kura wataitwa mmoja mmoja na kuhojiwa hadharani (live) katika Kumchagua Mwenyekiti Mpya.

Binafsi nadhan hiyo sio sawa, wangepiga kura za Siri na baada ya hapo ndio kura zihesabiwe live, hili kuepuka intimidation kwa wapiga kura, manake kuna wengine wanaweza wakawa wameamua kufuata ushauri wanaotoaga CHADEMA kipindi cha chaguzi za kitaifa.. kwamba pesa za CCM chukua lakini kura wapatie Chadema. Kwa spirit hiyo nahisi kuna baadhi wanaweza wakawa tayari wamelambishwa but wanachaguo tofauti na Nyuki...na Nyuki akijua Asali yake imechukuliwa Bure, kuna Hatari ya walambaji kutoka manundu na pengine kupoteza Maisha.

Na jambo la ajabu jingine ni kuhusu Mwenyekiti kutaja kanuni zitakazotumika ilhali katika mahojiano anasema kamati kuu itakaa siku tatu kabla ya uchaguzi kupanga kanuni... inakuaje yeye tayari anayo ya kwake...au ataingia kwenye kikao na kanuni mfukoni kama Mwenyekiti wa zamani wa Chama chenyewe?!
 
Akihojiwa na Kikeke nimemsikia Mbowe akisisitiza kwamba wapiga kura wataitwa mmoja mmoja na kuhojiwa hadharani (live) katika Kumchagua Mwenyekiti Mpya.
Je utaratibu huo upo kikatiba?
Lengo la kuhojiwa hadharani ni nini?
Kwanini utaratibu huo uanze sasa?
 
Akihojiwa na Kikeke nimemsikia Mbowe akisisitiza kwamba wapiga kura wataitwa mmoja mmoja na kuhojiwa hadharani (live) katika Kumchagua Mwenyekiti Mpya.

Binafsi nadhan hiyo sio sawa, wangepiga kura za Siri na baada ya hapo ndio kura zihesabiwe live, hili kuepuka intimidation kwa wapiga kura, manake kuna wengine wanaweza wakawa wameamua kufuata ushauri wanaotoaga CHADEMA kipindi cha chaguzi za kitaifa.. kwamba pesa za CCM chukua lakini kura wapatie Chadema. Kwa spirit hiyo nahisi kuna baadhi wanaweza wakawa tayari wamelambishwa but wanachaguo tofauti na Nyuki...na Nyuki akijua Asali yake imechukuliwa Bure, kuna Hatari ya walambaji kutoka manundu na pengine kupoteza Maisha.

Na jambo la ajabu jingine ni kuhusu Mwenyekiti kutaja kanuni zitakazotumika ilhali katika mahojiano anasema kamati kuu itakaa siku tatu kabla ya uchaguzi kupanga kanuni... inakuaje yeye tayari anayo ya kwake...au ataingia kwenye kikao na kanuni mfukoni kama Mwenyekiti wa zamani wa Chama chenyewe?!
Huyu mzee anajifariji tu , ili kuuhadaa umma kuwa atashinda uchaguzi, but kwa ground mambo ni moto, TAL kajipanga hakukurupuka, ikumbukwe kiti cha ayatolah kimeesababisha wengi wafukuzwe chamani, sidhani kama TAL hajui hayo
 
Katika siasa za kidemokrasia, misingi ikiwa ni haki, uhuru na uwazi, kura zinapaswa kupigwa kwa mtindo wa siri (ili mpiga kura kuwa huru) lakini zikihesabiwa kwa wazi (ili kila mtu ashuhudie).

Lakini ikiwa mtu atataka kupiga kura ya wazi, basi apewe haki hiyo (pasipo kulazimishwa) na hilo alifanye wazi mbele ya watu wasiopiga kura au waliokwisha kupiga kura tayari ili kuondoa dhana ya kushawishi wengine ambao watafuata kupiga kura.
 
Katika siasa za kidemokrasia, misingi ikiwa ni haki, uhuru na uwazi, kura zinapaswa kupigwa kwa mtindo wa siri (ili mpiga kura kuwa huru) lakini zikihesabiwa kwa wazi (ili kila mtu ashuhudie).

Lakini ikiwa mtu atataka kupiga kura ya wazi, basi apewe haki hiyo (pasipo kulazimishwa) na hilo alifanye wazi mbele ya watu wasiopiga kura au waliokwisha kupiga kura tayari ili kuondoa dhana ya kushawishi wengine ambao watafuata kupiga kura.
Hivi yule mstaafu alipokwenda kama mwangalizi wa uchaguzi kule Afrika Magharibi alirudi na mapendekezo gani vile
 
Akihojiwa na Kikeke nimemsikia Mbowe akisisitiza kwamba wapiga kura wataitwa mmoja mmoja na kuhojiwa hadharani (live) katika Kumchagua Mwenyekiti Mpya.

Binafsi nadhan hiyo sio sawa, wangepiga kura za Siri na baada ya hapo ndio kura zihesabiwe live, hili kuepuka intimidation kwa wapiga kura, manake kuna wengine wanaweza wakawa wameamua kufuata ushauri wanaotoaga CHADEMA kipindi cha chaguzi za kitaifa.. kwamba pesa za CCM chukua lakini kura wapatie Chadema. Kwa spirit hiyo nahisi kuna baadhi wanaweza wakawa tayari wamelambishwa but wanachaguo tofauti na Nyuki...na Nyuki akijua Asali yake imechukuliwa Bure, kuna Hatari ya walambaji kutoka manundu na pengine kupoteza Maisha.

Na jambo la ajabu jingine ni kuhusu Mwenyekiti kutaja kanuni zitakazotumika ilhali katika mahojiano anasema kamati kuu itakaa siku tatu kabla ya uchaguzi kupanga kanuni... inakuaje yeye tayari anayo ya kwake...au ataingia kwenye kikao na kanuni mfukoni kama Mwenyekiti wa zamani wa Chama chenyewe?!
Nini msingi wa kuhojiwa mmoja mmoja?
Uhuru wa kuchagua uko wapi?
 
Amesema watahesabiwa
Hiyo ndio formula ya upigaji kura...unahesabu idadi ya wapiga kura,then unalinganisha kura zilizopigwa na idadi kuu kabla ya kumtangaza mshindi aliyepata kura nyingi zaidi
 
Hilo ndilo chaka la Mbowe la wakati wote na mlikuwa mnachekelea likifanyika kwa wengine.

Mkikubali tu kura za namna hiyo,kwisha kazi.
 
Atabana Ataachia.
Lakini yuko kama Mbogo aliyejetuhiwa...sio Kawaida kwa incumbent kuwa aggressive, inaeleweka kwa Challenger kuwa aggressive ili kukutoa uliyeshika kiti...wanaomshangaa lissu kuwa aggressive pengine hawajui Mbowe yuko capable kufanya nini ili kubaki hapo alipo...no wonder challengers, lissu na Heche wameingia na miguu yote miwili.... strategies zao zimemstua Mwamba..ndio maana na yeye yuko rattled na anafanya offensive defense
 
Hii kali ya mwaka kama ni kweli. CHADEMA si ndiyo walikuwa wanapinga bungeni kura ya wazi wakawa wanataka kura ya siri. Sasa mwisho wa CHADEMA umefika.
 
Back
Top Bottom