Pre GE2025 Uchaguzi Chadema: Mbowe anasema wapigaji kura watahojiwa mmoja baada ya Mwingine

Pre GE2025 Uchaguzi Chadema: Mbowe anasema wapigaji kura watahojiwa mmoja baada ya Mwingine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sina ushahidi wa kisayansi, lakini mimi usikia kwamba CHADEMA ni Taasisi ambayo ina wanachama wengi vijana, wasomi, active na wako very vibrant...kama jibu ni NDIO...wameruhusu vipi mpaka wamefika hapa walipo!? Natambua Mbowe na Lissu wamekua Nguzo Ndani ya Chadema kwa muda sasa... Surely, baada ya kusikia haya majina Yao, mikakati Yao, movements zao na matamko Yao for over 20years and counting..ni miracles gani wanachama vijana wasomi wanategemea kutoka kwa Hawa usual suspects?!
 
Mimi hii naona ni kama vile ya kutunga. Watawahoji vipi wapiga kura zaidi ya 400? Nadhani wanahokusudia ni kuhakikisha kuwa wanaopiga kura ni wale wanaostahili kupiga kura tu maana watu wameishazungumzia kupenyezwa mamluki, ballot stuffing n.k. Naamini Kamati Kuu itapitisha procedure itakayokubalika na wagombea wote kwa chaguzi zote za siku hiyo.

Amandla...
 
Back
Top Bottom