Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Tanzania ni nchi ya amani na utulivu,tena inasifika duniani kote kwa sifa hiyo kubwa iliyotujengea sifa kubwa kote duniani hadi baadhi ya nchi zinatuonea kijicho,sasa nashangaa mtanzania ww unayeleta hoja zenye misingi ya kutugawa umetokea wapi? Au somalia? Sijui any way umetumwa kuleta mada zenye misingi ya kutugawa,tuko imara watanzania na hatutagawanyika kamwe,siasa na dini havichangamani,kama umeamua kuwa mwanasiasa basi fanya siasa,kama dini basi jikite huko, umoja wetu na mshikamano udmu, asante
 
Teh teh teh ulitaka nikufurahishe kukupa majibu ya maana kwa utumbo uliouongea?hoja ngumu iko wapi we kikojozi?nenda kasome Ibara ya 41 ya Katiba inayopendekezwa utaacha kukojo kitandani!

Katiba ipi sasa? Ya Joseph Sinde Warioba au ya Andrew John Chenge?
 
Tanzania ni nchi ya amani na utulivu,tena inasifika duniani kote kwa sifa hiyo kubwa iliyotujengea sifa kubwa kote duniani hadi baadhi ya nchi zinatuonea kijicho,sasa nashangaa mtanzania ww unayeleta hoja zenye misingi ya kutugawa umetokea wapi? Au somalia? Sijui any way umetumwa kuleta mada zenye misingi ya kutugawa,tuko imara watanzania na hatutagawanyika kamwe,siasa na dini havichangamani,kama umeamua kuwa mwanasiasa basi fanya siasa,kama dini basi jikite huko, umoja wetu na mshikamano udmu, asante

Amani na Utulivu???. Hivi hata watu Wenye akili unaweza kuwaambia maneno haya! Hivi unaweza kwenda Nyumbani kwao Davidi Mwangosi ukawaambia maneno hayo?. Hivi kule Mabwe Pande ndio kituo cha Amani na Utulivu?.

Julius Nyerere alipo Mwambia Padre John C. Sivalon kua katika kuiongoza nchi hii hakuliweka Nyuma kanisa lake alikua ndio anamaanisha amani na Utulivu unayo izungumzia?.


Hivi unajua nini unakiongolea au unaimba nyimbo kama kasuku?.
 
Amani na Utulivu???. Hivi hata watu Wenye akili unaweza kuwaambia maneno haya! Hivi unaweza kwenda Nyumbani kwao Davidi Mwangosi ukawaambia maneno hayo?. Hivi kule Mabwe Pande ndio kituo cha Amani na Utulivu?.

Julius Nyerere alipo Mwambia Padre John C. Sivalon kua katika kuiongoza nchi hii hakuliweka Nyuma kanisa lake alikua ndio anamaanisha amani na Utulivu unayo izungumzia?.


Hivi unaju nini unakiongolea au unaimba nyimbo kama kama kasuku?.
Usiongee historia wewe, ongea mambo ya sasa, we kataa lakn ukweli unaujua ila unaona aibu kukubali tu, hahaha pole sana ndugu we kubali ukweli tu wala hufungwi hapa.
 
Amani na Utulivu???. Hivi hata watu Wenye akili unaweza kuwaambia maneno haya! Hivi unaweza kwenda Nyumbani kwao Davidi Mwangosi ukawaambia maneno hayo?. Hivi kule Mabwe Pande ndio kituo cha Amani na Utulivu?.

Julius Nyerere alipo Mwambia Padre John C. Sivalon kua katika kuiongoza nchi hii hakuliweka Nyuma kanisa lake alikua ndio anamaanisha amani na Utulivu unayo izungumzia?.


Hivi unaju nini unakiongolea au unaimba nyimbo kama kama kasuku?.


Wewe ukienda nyumbani kwako unawaambia maneno gani?unachoshangaa ni nini hapa?inayokupa jeuri ya kutext hizi chenga zako si amani na utulivu vilivyopo nchini?au wewe unaandika ukiwa msituni au kwenye mapango umewakimbia waasi???tumia mwili wako sawasawa kufikiri!
 
Wewe ukienda nyumbani kwako unawaambia maneno gani?unachoshangaa ni nini hapa?inayokupa jeuri ya kutext hizi chenga zako si amani na utulivu vilivyopo nchini?au wewe unaandika ukiwa msituni au kwenye mapango umewakimbia waasi???tumia mwili wako sawasawa kufikiri!

Wewe unashangaa text? Achana na texts, inapobidi ku expose the truth, hata video clips zinakua posted from any where, be it Palestine or USA.

Tatizo hapa ni Brainwashed V/S Open Mind.
 
Yale yale ya kimzimu mzimu, katiba nayoisema mimi ni KATIBA YA WANANCHI INAYOPENDEKEZWA,YA OKTOBA 2014.
Chenge na babu yako hawana Katiba!

Ni shidaa Kweli kweli? Hapo pia unahitaji Mkalimani?
 
Usiongee historia wewe, ongea mambo ya sasa, we kataa lakn ukweli unaujua ila unaona aibu kukubali tu, hahaha pole sana ndugu we kubali ukweli tu wala hufungwi hapa.

Leo unakataa historia ya Kwenu?
 
Leo unakataa historia ya Kwenu?

Historia ni muhimu ila jiulize, hiyo historia inahusu nini. Tunajifunza nini katika historia hiyo? Siyo kila historia ni historia kwa wanahistoria. Sasa tumia muda wako kujifunza yaliyo mbele ya taifa lako. Tumia muda wako soma Katiba Inayopendekezwa.
 
Leo unakataa historia ya Kwenu?
Wapi nimesema nimekataa historia au unaota? Nimekwambia usiongelee historia humu ndani ongea mada za sasa! Qe mgumu kuelewa sana, hivi class ndo ulikuwa kilaza namna hiyo eeenh pole sana ungekuwa na upungufu wa damu ningekuongezea lakn tatizo lako wewe una upungufu wa akili nikusaidieje hapo ndugu?
 
Wewe unashangaa text? Achana na texts, inapobidi ku expose the truth, hata video clips zinakua posted from any where, be it Palestine or USA.

Tatizo hapa ni Brainwashed V/S Open Mind.

Unatumia nguvu kubwa kutetea vioja!usipigane na kivuli chako mwenyewe utaumia education purpose ni kureplace un empty mind with an open one, you dont fit in Palestine or USA Unapenda sana mteremko ili uonewe huruma rudi njia kuu acha kuchepuka shimoni kwa kujifariji Unabwbwaja kwa kuwa uko TZ a peaceful country.
 
Jaman chonde chonde hivi huo msamiati mahakama ya kadhi!bado tu unatamkwa?naomba kwa Tanzania yenyewe misingi ya usawa na isiyoongozwa kwa misingi ya dini,hili suala halina nafasi itafutwe nchi nyingine!maana katiba ya mwaka 1977haina kipengele hicho ,PENDEKEZWA pia Haina!nadhan hata kujadili hili tuna potea za muda wa kujadili katiba PENDEKEZWA tu!
 
Historia ni muhimu ila jiulize, hiyo historia inahusu nini. Tunajifunza nini katika historia hiyo? Siyo kila historia ni historia kwa wanahistoria. Sasa tumia muda wako kujifunza yaliyo mbele ya taifa lako. Tumia muda wako soma Katiba Inayopendekezwa.

Wapi nimesema nimekataa historia au unaota? Nimekwambia usiongelee historia humu ndani ongea mada za sasa! Qe mgumu kuelewa sana, hivi class ndo ulikuwa kilaza namna hiyo eeenh pole sana ungekuwa na upungufu wa damu ningekuongezea lakn tatizo lako wewe una upungufu wa akili nikusaidieje hapo ndugu?

Unatumia nguvu kubwa kutetea vioja!usipigane na kivuli chako mwenyewe utaumia education purpose ni kureplace un empty mind with an open one, you dont fit in Palestine or USA Unapenda sana mteremko ili uonewe huruma rudi njia kuu acha kuchepuka shimoni kwa kujifariji Unabwbwaja kwa kuwa uko TZ a peaceful country.

Jaman chonde chonde hivi huo msamiati mahakama ya kadhi!bado tu unatamkwa?naomba kwa Tanzania yenyewe misingi ya usawa na isiyoongozwa kwa misingi ya dini,hili suala halina nafasi itafutwe nchi nyingine!maana katiba ya mwaka 1977haina kipengele hicho ,PENDEKEZWA pia Haina!nadhan hata kujadili hili tuna potea za muda wa kujadili katiba PENDEKEZWA tu!

Tafuta huyo mkalimani wako aka zero brain najua wote mtakua mnafanana akili!habari ndo hiyo KATIBA INAYOPENDEKEZWA NDO MPANGO!

Hivi hakuna watu wengine wenye akili na hoja za kujadili hili zaidi ya hawa! Hii nadhani ni Mizuzu bora liende. Nikiambia hivi inajibu vile. Hata nikiiwekea Ushahidi bado hailewi. Waje wengine hawa hapa sio mahala pake.
 
Hivi hakuna watu wengine wenye akili na hoja za kujadili hili zaidi ya hawa! Hii nadhani ni Mizuzu bora liende. Nikiambia hivi inajibu vile. Hata nikiiwekea Ushahidi bado hailewi. Waje wengine hawa hapa sio mahala pake.

We ni Mburula wenye akili unaowataka wewe ndo sisi,hapo una hoja gani umedisplay instead of copying michango yetu ili ujaze page na saver,Wewe ni msukule na aliyekufungulia uropoke humu ndani karibia anakurudisha ulikotoka!ustarabu ni kitu kidogo tumia akili acha kurukaruka kama pimbi!hapa hafagiliwi mtu.
 
We ni Mburula wenye akili unaowataka wewe ndo sisi,hapo una hoja gani umedisplay instead of copying michango yetu ili ujaze page na saver,Wewe ni msukule na aliyekufungulia uropoke humu ndani karibia anakurudisha ulikotoka!ustarabu ni kitu kidogo tumia akili acha kurukaruka kama pimbi!hapa hafagiliwi mtu.

Tatizo hapa ni sawa na kujadiliana Mambo ya Uzazi na watoto wa Miaka Kumi. Ni shidaa. Sijui unajielezeaje. Nikiwapeleka kwenye Hoja, Mara wakimbilie Polisi, Mara watukane, Yaaani ni Shidaa!

Kwani humu JF hakuna watu wenye akili huru zaidi ya hivi Vitoto. Hawajui hata maana ya copy and paste. Wao wanakariri kila kitu. Kasuku type of Students.

Wakiambiwa Mungu ni Paka. Wanaimba paka wetu uje utuokoe. Oh! My God! THINK YOU FOOLS.
 
Back
Top Bottom