Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Mbinafsi na mbaguzi wewe. Taifa kwanza, Kazi ya dini iache ifanywe maeneo ya kuabudia. Ukiambiwa ukweli unajidai out of points. Kama umetumwa kamwambie aliyekutuma Watanzania hawadanganyiki maana unaweza kuwa pandikizi kutuvuruga Watanzania. Koma kabisa.

Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
 
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.

Mapovu ni wewe ndiye unayetokwa kwa kuvaa maneno ya Kibaguzi. Akili yako ikufae wewe na familia yako usitulishe vumbi lako hapa. Nenda katoe taarifa kwa aliyekutuma kuwa Watanzania wapo makini na taifa lao.
 
Mapovu ni wewe ndiye unayetokwa kwa kuvaa maneno ya Kibaguzi. Akili yako ikufae wewe na familia yako usitulishe vumbi lako hapa. Nenda katoe taarifa kwa aliyekutuma kuwa Watanzania wapo makini na taifa lao.

Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
 
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.

Huna jipya wewe ndiyo maana uncopy yalele. Kapumzike wewe upumzishe mapovu yako
 
Huna jipya wewe ndiyo maana uncopy yalele. Kapumzike wewe upumzishe mapovu yako

Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
 
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.

Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.

MZIMU, endelea na kazi yako hiyo ya kucopy ujinga wako mpaka utakapochoka. Maana huna habari mpya hapa. Endelea kduwaa tuuu!
 
MZIMU, endelea na kazi yako hiyo ya kucopy ujinga wako mpaka utakapochoka. Maana huna habari mpya hapa. Endelea kduwaa tuuu!

SIKU chache kupita baada ya Mkutano wa 19 wa Bunge kumalizika,na serikali kuutupia mbali mswaada wa sheria ambao unaruhusu kuwepo makakama ya Kadhi nchini kutajadiliwa kwenye mkutano huo.

Nayo Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini wameibuka na kutoa tamko zito kwa kuwataka waislam wote nchini kutoshiriki kwenye kura ya maoni ya kupitisha katiba pendekezwa Bunge Maalum la Katiba,kwa madai kwamba serikali haina nia nzuri na waislam nchini kwa kitendo chake cha kukataa kuwepo mahakama ya Kadhi nchini.

Vilevile Taasisi hiyo imewataka pia waislam wote kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la wapiga kura na kujiandaa kufanya uamuzi mgumu ambao wanasema hajawai fanywa na waislam nchini tangu taifa kupata Uhuru.

Akisoma Tamko hilo lenye kura sita jana jioni kwenye msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Jijini Dar es Salaam ,Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislam nchini Sheikh Mussa Kundesha kwa niaba ya asasi za kiislam 11 zinazounda umoja huo na kushuhudiwa na Mamia ya waumini wa dini hiyo pamoja waandishi wa Habari ambapo Sheikh Kundesha alisema-

Waislam wote nchini wamechoka na uonevu wanaodai kufanyiwa na Serikali iliyoko madarakani kwa kitendo cha kuondo Mswaada wa Mahakama ya kadhi Bungeni ambapo alisema ni kuendelea kuchochea vita ya kidini nchini.

“Kuna kila sababu ya kuamini kuwa Serikali ya CCM imeshindwa kulishughulikia suala la mahakama ya Kadhi katika uhalisia wake kama ilivyoahidi kupitia ilani yake kwenye uchaguzi ibara ya 108 (b) mwaka 2005 na sasa inafanya hadaa za kisiasa kuwadanganya waislam ili waonekane inalishughulikia suala la mahakama ya Kadhi kama walivyoahidi”

“Kwa ubabe huu wanaotufanyia waislam sasa tunawaomba waumini wote wa kiislam nchini kutoipigia kura katiba pendekezwa kwasababu sio katiba nzuri kwa waislam harafu tunawataka kila mmoja aliyetimiza miaka 18 ajiandikishe kwenye Daftari wa wapiga kura kujiandaa kufanya uamuzi mgumu ambapo utalitikisa nchi”alisema Sheikh Kundesha.

Alisema kuwa kitendo cha Serikali kuwatambua Makadhi wa Bakwata pamoja wanachosema ni ‘Mahakama hewa ya Kadhi’ chini ya Bakwata ni kinyume na Katiba ya nchini ibara 19(1) na (20) kwa kuwalazimisha waislam wawe chini ya Bakwata ambapo wanasema hawatakubaliana nalo.

KUHUSU TAMKO LA MAASKOFU.
Pia katika Tamko la Taasisi hiyo kiislam ambapo litasomwa kila msikiti Ijumaa wiki hii nchi nzima pia wamezungumzia Matamko mawili yaliyotolewa Jukwaa la kikiristo nchini ambapo Taasisi hiyo ya Kiislam wameonyesha masikitiko yao kwa kusema ni dhahili hapa nchini kuna serikali dhaifu kwa kuwaacha maaskofu kutoa matamko ambayo wanadai ni ya kichochezi.

“Ushahidi kwamba ni chuki tu husda ni pale ambapo hata waislam tuliopendekeza mahakama ya Kadi iwekwe kwenye Katiba pendekezwa,lakini tunashangaa hawa maaskofu wamekuwa wakiipinga Mahakama hii wakati hii dini tofauti na y a kwao na sisi waislam tumewavumilia lakini tunahoji hawa maaskofu wanataka nini”

KUHUSU KESI ZA MASHEIKH NA KUNYIMWA DHAMANA.
Pia Taasisi ya Kiislam wameonyesha kuchukizwa kwa kitendo cha Masheikh mbalimbali akiwemo shehe Ponda ambao wapo mahabusu na kunyimwa Dhamana na Serikali ila wanashangaa kitendo cha Serikali kuwamwachia Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Askofu Josephat Gwajima wanadai kitendo hicho kinaonesha Serikali kuwapendelea wakristo.

“Masheikh mbalimbali wako mahabusu wakinyimwa Dhamana bila sababu za msingi kwa kesi za uchochezi au kwa kisingizio cha Ugaidi wakati huo huo tumeshuhudia Maaskofu wakitoa kauli za uchochezi pasina kuchukuliwa hatua yeyote ikiwemo sakata la Askofu Gwajima”

KAMPENI WANAO DAI KUUA MADRASA.
Pia Taasisi hiyo wamezungumia kitendo cha Serikali kuwakamata wa Mashehe mbalimbali wanaowafundisha watoto majumbani kwa madai ya serikali kutofuata taratibu za mafunzo likiwemo matukioa tofauti yaliyotokea mkoani arusha-

Kwa kusema ni wazi serikali imejitosa kuua madrasa nchini.

“Lakini Takriban mwezi mmoja sasa,njama hizi za kuua madrasa zetu zimeibuka kwa kasi kubwa na nguvu kwa kuendesha kamatakamata ya waalimu wa madrasa zao katika hali duni majumbani mwao wakifundisha Quran na mafunzo mengine ya Uislam kama tulivyoshudia huko mkoan Moshi na Arusha”

“Tunataka Serikali itusaidie kufundisha Elimu ya dini ya Kiislam kwa mujibu wa sheria ndiyo ipi,sheria hiyo ilipitishwa lini na Bunge lipi?kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara 20 (1) kazi ya kutangaza dini ni suala binafsi,iweje sasa Serikali inakuja na madai haya ya kufundisha dini kinyume na Sheria kwa walimu wetu wa madrasa”

Chanzo:
FullHabari Blog


 
Acha unafiki waislamu wanaitaka.

Wewe ni mpagani ndio maana unaishia waislamu wanaitaka sio tunaitaka, wewe hauhusiki na hiyo mahakama ni mamluki umetumwa kutuharibia forum waambie waliokutuma wamefulia, usikalie kushadadia jambo litakalokumeza mwenyewe, Serikali haina dini,katiba 1977 dini kusimamiwa na serikali ni Chura ma maji ya moto,Katiba inayopendekezwa ibara ya 41 hakuna dini kusimamiwa ma serikali,wala taasisi zake mwanazuoni feki wewe.
 
Wewe ni mpagani ndio maana unaishia waislamu wanaitaka sio tunaitaka, wewe hauhusiki na hiyo mahakama ni mamluki umetumwa kutuharibia forum waambie waliokutuma wamefulia, usikalie kushadadia jambo litakalokumeza mwenyewe, Serikali haina dini,katiba 1977 dini kusimamiwa na serikali ni Chura ma maji ya moto,Katiba inayopendekezwa ibara ya 41 hakuna dini kusimamiwa ma serikali,wala taasisi zake mwanazuoni feki wewe.

Kwani mnaogopa nini? Why Using so Much force and So Much Propaganda against Islam? Islam has never failed. It is just a Matter of time.
 
Kwani mnaogopa nini? Why Using so Much force and So Much Propaganda against Islam? Islam has never failed. It is just a Matter of time.
Ondoeni mambo yenu ya udini bhana, nchi hii haina dini acheni kuibua hisia za watu.
 
Islam as a Religion is a Religion of Peace Unless Compromised!.
NA HAO MAGAIDI NI WAKRISTO AU? ALSHABAB NA ALQAEDA NA ISIS? alokwambia kuchinja watu ndo Mungu anapenda nani? Yani kujihusisha na mauji ya wasio na hatia hiyo ni go ahead to hell
 
NA HAO MAGAIDI NI WAKRISTO AU? ALSHABAB NA ALQAEDA NA ISIS? alokwambia kuchinja watu ndo Mungu anapenda nani? Yani kujihusisha na mauji ya wasio na hatia hiyo ni go ahead to hell

Kwanza Kabisa unaelewa kwamba hayo Makundi yote Yameanzishwa na Secret services za Nchi Za Ulaya na Israel (Failed COVERT OPERATIONS.) Hakuna Muislamu yoyote anaejua Uislamu halisi anaweza kuyasapoti hayo makundi. Kwani Mauji wanayofanya hayana Tofauti na Mauaji kwa watu wasio na hatia kule Palestine, Libya, Iraq, Syria, Yemen na Aghfanistani. Hao wote wanauwa watu wasio na hatia. Iwe ni USA, FRANCE, ISRAEL au SAUDI ARABIA. Kwahiyo Usifunge jicho Moja unapokua unaangalia Ukweli wa Mambo. Usijaribu kuhalalisha hata Siku Moja kua kuna Mauji Mazuri na Mabaya. MAUAJI NI MAUJI TU. Iwe ni kwa Bomu au Kwa Kisu. Inategemea ujumbe gani unataka kuufikisha.

Vile vile lazima Ujue kua Kwa hali ambayo Raia Wasiokua na Hatia wanafanyiwa, Iwe Muislamu au Muislamu Mtarajiwa, inakua Rahisi sana kujiunga na Makundi hayo. Ingawa initially they were COVERT OPERATIONS. Now they are Failed Covert Operations Turning against their Masters.

Angalia hiyo Video ambayo Raia wasio na Hatia wanavyo Pigwa Mabomu. Hao wapigaji sio ISIS, Alqaeda wala Alshabab. Ila hao wanoa uliwa nadhani sio Binadamu.


 
Last edited by a moderator:
Kwanza Kabisa unaelewa kwamba hayo Makundi yote Yameanzishwa na Secret services za Nchi Za Ulaya na Israel. Hakuna Muislamu yoyote anaejua Uislamu halisi anaweza kuyasapoti hayo makundi hayo. Kwani Mauji wanayofanya hayana Tofauti na Mauaji kwa watu wasio na hatia kule Palestine, Libya, Iraq, Syria, Yemen na Aghfanistani. Kwahiyo Usifunge jicho Moja unapokua unaangalia Ukweli wa Mambo. Usijaribu kuhalalisha hata Siku Moja kua kuna Mauji Mazuri na Mabaya. MAUAJI NI MAUJI TU. Iwe ni kwa Bomu au Kwa Kisu. Inategemea ujumbe gani unataka kuufikisha.

Vile vile lazima Ujue kua Kwa hali ambayo Raia Wasiokua na Hatia wanafanyiwa, Iwe Muislamu au Muislamu Mtarajiwa, inakua Rahisi sana kujiunga na Makundi hayo. Ingawa initially they were COVERT OPERATIONS. Now they are Failed Covert Operations Turning against their Masters.

Angalia hiyo Video ambayo Raia wasio na Hatia wanavyo Pigwa Mabomu. Hao wapigaji sio ISIS, Alqaeda wala Alshabab. Ila hao wanoa uliwa nadhani sio Binadamu.


we huna akili kweli, Baadhinyenu ni wauaji kama hamjui mnaidharirisha dini yenu, dunia nzima mmekuwa wakorofi na wauji kila kona, acha kusingizia Israel lile ni Taifa la Mungu na kamwe hamtaweza kulibabaisha kwa lolote, Mungu kawapa uwezo wa kila kitu, nyienendeleeni na unyama wenu huo.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza Kabisa unaelewa kwamba hayo Makundi yote Yameanzishwa na Secret services za Nchi Za Ulaya na Israel (Failed COVERT OPERATIONS.) Hakuna Muislamu yoyote anaejua Uislamu halisi anaweza kuyasapoti hayo makundi. Kwani Mauji wanayofanya hayana Tofauti na Mauaji kwa watu wasio na hatia kule Palestine, Libya, Iraq, Syria, Yemen na Aghfanistani. Hao wote wanauwa watu wasio na hatia. Iwe ni USA, FRANCE, ISRAEL au SAUDI ARABIA. Kwahiyo Usifunge jicho Moja unapokua unaangalia Ukweli wa Mambo. Usijaribu kuhalalisha hata Siku Moja kua kuna Mauji Mazuri na Mabaya. MAUAJI NI MAUJI TU. Iwe ni kwa Bomu au Kwa Kisu. Inategemea ujumbe gani unataka kuufikisha.

Vile vile lazima Ujue kua Kwa hali ambayo Raia Wasiokua na Hatia wanafanyiwa, Iwe Muislamu au Muislamu Mtarajiwa, inakua Rahisi sana kujiunga na Makundi hayo. Ingawa initially they were COVERT OPERATIONS. Now they are Failed Covert Operations Turning against their Masters.

Angalia hiyo Video ambayo Raia wasio na Hatia wanavyo Pigwa Mabomu. Hao wapigaji sio ISIS, Alqaeda wala Alshabab. Ila hao wanoa uliwa nadhani sio Binadamu.



Kumbe ndo maana ukaitwa MZIMU hahahaha hakika,we ni kweli mzimu.
 
Last edited by a moderator:
we huna akili kweli, Baadhinyenu ni wauaji kama hamjui mnaidharirisha dini yenu, dunia nzima mmekuwa wakorofi na wauji kila kona, acha kusingizia Israel lile ni Taifa la Mungu na kamwe hamtaweza kulibabaisha kwa lolote, Mungu kawapa uwezo wa kila kitu, nyienendeleeni na unyama wenu huo.

Kumbe ndo maana ukaitwa MZIMU hahahaha hakika,we ni kweli mzimu.

Majibu rahisi kwa hoja Ngumu. Change your Mind set Brother. I hope Umeelewa. Next!
 
Facts: Israel Giving Arms And Fighting alongside ISIS against Syria. Wath this Video.




CC. RAPTOR 22, Ebola Hatari, claudielakimu na MWASI MWAKENDA
 
Last edited by a moderator:
wewe gaidi lazima tukufatilie wewe, ndo watu wasiopenda amani kama nyie mnaohusika na mauaji hata kule Kenya.

Haahaaahaaa! Majibu rahisi kwa hoja Ngumu. Change your Mind set Brother. I hope Umeelewa. Next!
 
Facts: Israel Giving Arms And Fighting alongside ISIS against Syria. Wath this Video.




CC. RAPTOR 22, Ebola Hatari, claudielakimu na MWASI MWAKENDA

wewe gaidi huna lolote hatukuhitaji humu, nenda kaongee na mizumu wenzio huko hao wauaji.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom