hiyo video yako hauhusiani na suala la ugaid mlilonalo nyie wauaji na mizimu kama wewe, Syria ilikuwa na haki ya kupigwa maana Raisnwake kawa mbishi na anaua raia wake wasio na hatia ndo maana nchi nyingi zimekuwa zikimtuhumu apigwe, kuna Marekani, Uturuki na nchi jirnai zikiwemo zile za Nato zilikuwa tayari kumwazibu huyo Syria bahati yake Urusssi ndo alikuwa akimtetea mara kwa mara, lakn hali hiyo kwa sasa imetoweka na Rais wanSyria anaonyesha ushirikiano mzuri ndo maana marekaninwalikuwa tayari waongee naye. Acha kupotosha watu, mbna hujataja nchi nyingine kama hizo nlizokwambia? Bashari Ali assad alikuwa anatumia silaha za sumu kuua raia wake sasa wewe unadhani angeachwa, ndo maana wale Rebels walikuwa wnaungwa mkno na nchi za Magahribi na nyingnezo maanq Syrianimekuwa kiburi na imeendesha vita kwa muda mrefu. Hujui kitu axha kucopy videos na kupaste bila kujua chanazo cha mgogoro, kenge weee.