Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).


Mzimu unatakiwa kupimwa vinasaba kuona kama una element za ubinadamu au ni Zombi maana akili yako imepungua ndo maana unalialia kuomba msaada mazombi wenzio waje kukuokoa,tulia uzae wewe unapenda kurukia mambo yasiyokuhusu na term hii unazaa mapacha 6!
 
Kuna watu humu jf nadhani inabidi tuwafuatilie uraia wao hasa mtu anayeleta hoja zenye lengo la kuleta mgawanyiko,eti siasa na dini kweli vinachangamana,hebu tuache kuleta hoja zenye misingi ya ubaguzi,eti watu wajadili kuhusu mahakama ya kadhi na chama cha siasa nani zaidi,nadhani mtoa hoja ameishiwa ni bora ashike jembe akalime.
 
Acha unafiki waislamu wanaitaka.


Labda wewe ndio unaitaka,alafu unajifanya ww ndio msemaji wa ss waislamu,nani kakutuma,unatafuta umaarufu ambao huwezi kuupata hata chembe moja,bora ukafanye shughuli zako uboreshe maisha yako,achana na shughuli za kumwaga ----- kwani mwisho utakuwasha mwenyewe
 



Amani na utulivu unayoisema wewe sijui unataka iwe na sura gani?mpaka uone watu wamesimama kama miti ndo useme hii hapa,au uone watu wanakufa njaa, hata hueleweki hivi kwa nini we mzee unashindwa kutumia akili yako sawasawa?unaboa sana wewe ndio maana unakalia kuomba msaada wana JF wakuonee huruma afu wajanja hawaji kukusaidia maana wewe ni mbishi hata kwa vitu vya msingi!
 




Wanaitaka mara ngapi wakati wanatembea nayo!!!! Au hamjui????

Mahakama ya Kadhi ndio itakayo amua Rais Ajae!
 
Uwelewa ni Shidaaah!


Jamani duniani ni mahali pazuri sana. Ila napata shida na ukakasi sana kuishi na watu wenye majiana ya MZIMU maana haeleweki, yeye ni binadam kweli? au ni MZIMU kweli? Huyu jamaa ana maneno ya dhihaka dhihaka na kutokujitambua kama yeye naye anaishi kwenye nchi ya misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano. Nawaasa Watnaznia wenzangu, kuweni macho na mtu ambaye hatuamini kama yupo duniani au yupo mahali gani maana mizimu hakuna ajuaye huwa iankaa wapi. Tanzania itaendelea kusonga mbele daima na watu wake watendelea kusitawi kama tende. Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.
 

MWASI MWAKENDA au wewe ndio ile Dizaini ya Wanawake Wanaovaa Hijabu halafu wanakunywa Viroba? Maanake Husomeki kabisa Dada!
 
MWASI MWAKENDA au wewe ndio ile Dizaini ya Wanawake Wanaovaa Hijabu halafu wanakunywa Viroba? Maanake Husomeki kabisa Dada!

Mambo vipi? MZIMU naona unanipa taarifa kuwa muda wako wa kunywa viroba. Hujazuiliwa nenda kanywe. Mimi ninamsimamo na taifa langu siyo wewe unamwayamwaya tu na viroba. Endelea na utaratibu wako wa viroba. Acha tabia za MIZIMU wewe.
 
Ya katiba gani sasa?. Ya Joseph Warioba au Ya Endrew John?

Tofautisha vitu wewe? Ndiyo maana unakunywa viroba. Warioba hakuandaa Katiba yeye aliandaa Rasimu ya Katiba na Bunge Maalum ndiyo liliandaa Katiba Inayopendekezwa kupitia Rasimu ya Katiba. Hapa nchini hatuna kitu kama "ya Endrew John?". Acha uongo wako wewe.
 
Mahakama ya Kadhi ndio itakayo amua Rais Ajae!

Vitu vitakavyoamua Rais ajaye ni -
1. Kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
2.kupiga kura ya kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

HILO LIKIFANYIKA HAPO OKTOBA 2015 RAIS ATAPATIKANA KIULAINI NA SI VINGINEVYO HIZI KELELE NYINGINE NI SARAKASI ZA WATU WALIOSHINA SEMBE.
 
Mambo vipi? MZIMU naona unanipa taarifa kuwa muda wako wa kunywa viroba. Hujazuiliwa nenda kanywe. Mimi ninamsimamo na taifa langu siyo wewe unamwayamwaya tu na viroba. Endelea na utaratibu wako wa viroba. Acha tabia za MIZIMU wewe.


Tangu lini Wakristo mkawa na Msimamo na Taifa hili?. Tangu tunadai uhuru historia inaonyesha kua, Kwa wakristo Kwao wao Ukristo kwanza na Taifa baadae bila kujali wapo kwenye Chama gani. Kama ambavyo Mlivyo ona harakati za Wabunge Wote Wakristo walivyo Ungana Kupinga kuanzisha Mahakama ya Kadhi ambayo haita wahukumu Wakristo wala Waislamu wasiotaka kuhukumiwa na Mahakama hiyo.

Wakati wa kudai uhuru, ni Masheikh na Maustadhi waliokua Msitari wa Mbele kutika Mapambano hayo kuanzia Kuanzishwa kwa chama cha TAA kule Tanga hadi TANU kule Dar -es-salaam. Katika Waasisi wa TANU kumi na nne, Wakristo walikua Julius Nyerere na John Rupia Peke yake. Julius Nyerere Alilikiri hilo hadharani kabla haja jisifia uhai wa Mungu katika Birthday yake na Mungu akampa live Bila kumkopesha.

Katika harakati za Kudai uhuru, hakukua na Padre, Askofu, Kadinali, Mchungaji wala Sister yoyote. Bali kulikua na Masheikh na Ma Ustadhi tu! Hivi karibuni kumeanza jitihada za kuchakachua historia hiyo lakini Mungu anajalia Historia ya Kweli inajulikana na Ushahidi upo.




#1

#2

#3

#4

#5

#6

#7

#8

#9

#10

#11
 
Last edited by a moderator:
mwasi mwakenda au wewe ndio ile dizaini ya wanawake wanaovaa hijabu halafu wanakunywa viroba? Maanake husomeki kabisa dada!

utasema mengi we mzimule na kuendekeza udini wako tulia akupe dozi unaanza kulewa eeehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…