Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Mkuu we ni team Gwajima ee?

Big teacher naomba ubadilishe jina na uwe big student kwani inaonekana unahitaji sana kujifunza kuliko kufundisha maana wahenga walishasema kuwa you cannot give what you don't have. Sasa wewe huna elimu ya kutosha katika mjadala huu hasa wa Katiba Inayopendekezwa je utawaelimishaje wananchi!
 

Sasa hapa mchango wako uko wapi mijitu mingine bana aaaagh
 
Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Hebu na wewe kwanza tuonyeshe. Ni wapi katika Biblia wakristo wameruhusiwa kujiunga Jamiiforums???
 
Waislamu ni wa kudanganywa tu,sababu ya uswahili umewazidi hata ktk mambo ya mwingine
 






 

SIASA ni VITA isiyoendana na umwagaji wa damu.
Na VITA ni SIASA inayoendana na umwagaji wa damu.

Dini na siasa havichangamani
Ni kana chuma na udongo.
Eee mungu tulindie amani ya nchi yetu,na uirejeshe kule ilikopotea
Aaaamin
 
Si waislamu wala Wakristo wanaoitaka hiyo, kwa Tanzania haina kazi tuna mahakama ya Tanzania Yatosha kama ilivyo kwa Katiba Inayopendekezwa ile ibara ya 41 YATOSHA, Pia muundo wa Serikali 2 tu unatosha sana! byeee
 
Si waislamu wala Wakristo wanaoitaka hiyo, kwa Tanzania haina kazi tuna mahakama ya Tanzania Yatosha kama ilivyo kwa Katiba Inayopendekezwa ile ibara ya 41 YATOSHA, Pia muundo wa Serikali 2 tu unatosha sana! byeee

Mhhh! Sio kweli. Muislamu yoyote anaekataa kusiwe na Mhakama ya Kadhi huyo ni Kafiri tu kama Makafiri wengine.
 
SIASA ni VITA isiyoendana na umwagaji wa damu.
Na VITA ni SIASA inayoendana na umwagaji wa damu.

Dini na siasa havichangamani
Ni kana chuma na udongo.
Eee mungu tulindie amani ya nchi yetu,na uirejeshe kule ilikopotea
Aaaamin

Kivipi sasa Maskofu na Makadinali watake kutoana roho kisa Mahakama ya Kadhi?. Tell your philosophy to the Birds.
 
Wanaitaka waende Somalia au Nigeria wataikuta iko poa sana kuwashughulikia!

Wakristo tumewashtukia. Imekula kwenu. Kwanza kabisa tutaiondoa CCM madarakani ambayo imekua ikiingia Madarakani Miaka yote kwa Mgongo wa Waislamu.
 
Wakristo tumewashtukia. Imekula kwenu. Kwanza kabisa tutaiondoa CCM madarakani ambayo imekua ikiingia Madarakani Miaka yote kwa Mgongo wa Waislamu.
We usilete bla bla zako hapa ndani ya JF kamamhuna hoja kaa kimya tu.
 
We usilete bla bla zako hapa ndani ya JF kamamhuna hoja kaa kimya tu.

Leo tulikua na mjadala huo. Wabunge Waislamu wa CCM hawana msaada wowote kwa Uislamu. Lakini tumeona Wabunge Wakristo wa vyama vyote wakiwa wamoja inapokuja Maslahi ya Kanisa.

Well noted. Ila tutaanza na CCM kwanza.
 
Leo tulikua na mjadala huo. Wabunge Waislamu wa CCM hawana msaada wowote kwa Uislamu. Lakini tumeona Wabunge Wakristo wa vyama vyote wakiwa wamoja inapokuja Maslahi ya Kanisa.

Well noted. Ila tutaanza na CCM kwanza.
hoja yako uloweka ndugu iko kama umeandika lugha isiyoeleweka sawa na wewe uandike kijamaica ambaxho hata hukijui, mambo ya vyama si mahala pake hapa, we kamq ni wa chama fulani basi uchama wako weka pembeni, uzalendo kwanza mengine baadae, hatuhitaji wachumia matumbo kwenye mada kama hizi.
 

Muslim enemy number one is CCM. So we are going to remove it from power first and then we will deal with other enemies. This time we are going to Use our Power of Democracy to choose who we want to lead us.
 
Muslim enemy number one is CCM. So we are going to remove it from power first and then we will deal with other enemies. This time we are going to Use our Power of Democracy to choose who we want to lead us.

Watanzania tuwe macho na huyu mtu anayeitwa MZIMU; Jina tu! ni shida tupu. Mzimu hauwezi kukaa na watu ndiyo maana mambo yake yote anajitahidi kudanganya na kukuza taswira anayotumia yeye na sii uhalisia wa mambo. Mzimu huu umelala katika usingizi wa vyama kitu ambacho yeye anatumia kama kichaka kichake, kichaka hicho anakitumia kutekeleza matakwa ya mizimu wenzake waliomtuma kutuvuruga Watanzania. Sisi Watanzania tupo imara kuijenga nchi yetu inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha kwa mustakabali wa nchi yetu na watu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…