Mbinafsi na mbaguzi wewe. Taifa kwanza, Kazi ya dini iache ifanywe maeneo ya kuabudia. Ukiambiwa ukweli unajidai out of points. Kama umetumwa kamwambie aliyekutuma Watanzania hawadanganyiki maana unaweza kuwa pandikizi kutuvuruga Watanzania. Koma kabisa.
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.
Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
Mapovu ni wewe ndiye unayetokwa kwa kuvaa maneno ya Kibaguzi. Akili yako ikufae wewe na familia yako usitulishe vumbi lako hapa. Nenda katoe taarifa kwa aliyekutuma kuwa Watanzania wapo makini na taifa lao.
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.
Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
Huna jipya wewe ndiyo maana uncopy yalele. Kapumzike wewe upumzishe mapovu yako
Maelezo yangu yapo fasaha sana kwa kila mtu mwenye akili timamu. Ni Maelezo yenye ushahidi wa Matukio. Kwa mtu mwenye OPEN MIND hata awe Mkristo atakua ameniaelewa. Sio kila Mpuuzi anaweza kueleewa nini nimeongelea.
Mapovu yanayowatoka ni dalili kua yanawachoma Moyo. Naongea kwa hoja sio Chuki kama nyinyi. Open up your Mind. It is the only solution.
MZIMU, endelea na kazi yako hiyo ya kucopy ujinga wako mpaka utakapochoka. Maana huna habari mpya hapa. Endelea kduwaa tuuu!
Acha unafiki waislamu wanaitaka.
Wewe ni mpagani ndio maana unaishia waislamu wanaitaka sio tunaitaka, wewe hauhusiki na hiyo mahakama ni mamluki umetumwa kutuharibia forum waambie waliokutuma wamefulia, usikalie kushadadia jambo litakalokumeza mwenyewe, Serikali haina dini,katiba 1977 dini kusimamiwa na serikali ni Chura ma maji ya moto,Katiba inayopendekezwa ibara ya 41 hakuna dini kusimamiwa ma serikali,wala taasisi zake mwanazuoni feki wewe.
Ondoeni mambo yenu ya udini bhana, nchi hii haina dini acheni kuibua hisia za watu.Kwani mnaogopa nini? Why Using so Much force and So Much Propaganda against Islam? Islam has never failed. It is just a Matter of time.
NA HAO MAGAIDI NI WAKRISTO AU? ALSHABAB NA ALQAEDA NA ISIS? alokwambia kuchinja watu ndo Mungu anapenda nani? Yani kujihusisha na mauji ya wasio na hatia hiyo ni go ahead to hellIslam as a Religion is a Religion of Peace Unless Compromised!.
NA HAO MAGAIDI NI WAKRISTO AU? ALSHABAB NA ALQAEDA NA ISIS? alokwambia kuchinja watu ndo Mungu anapenda nani? Yani kujihusisha na mauji ya wasio na hatia hiyo ni go ahead to hell
we huna akili kweli, Baadhinyenu ni wauaji kama hamjui mnaidharirisha dini yenu, dunia nzima mmekuwa wakorofi na wauji kila kona, acha kusingizia Israel lile ni Taifa la Mungu na kamwe hamtaweza kulibabaisha kwa lolote, Mungu kawapa uwezo wa kila kitu, nyienendeleeni na unyama wenu huo.Kwanza Kabisa unaelewa kwamba hayo Makundi yote Yameanzishwa na Secret services za Nchi Za Ulaya na Israel. Hakuna Muislamu yoyote anaejua Uislamu halisi anaweza kuyasapoti hayo makundi hayo. Kwani Mauji wanayofanya hayana Tofauti na Mauaji kwa watu wasio na hatia kule Palestine, Libya, Iraq, Syria, Yemen na Aghfanistani. Kwahiyo Usifunge jicho Moja unapokua unaangalia Ukweli wa Mambo. Usijaribu kuhalalisha hata Siku Moja kua kuna Mauji Mazuri na Mabaya. MAUAJI NI MAUJI TU. Iwe ni kwa Bomu au Kwa Kisu. Inategemea ujumbe gani unataka kuufikisha.
Vile vile lazima Ujue kua Kwa hali ambayo Raia Wasiokua na Hatia wanafanyiwa, Iwe Muislamu au Muislamu Mtarajiwa, inakua Rahisi sana kujiunga na Makundi hayo. Ingawa initially they were COVERT OPERATIONS. Now they are Failed Covert Operations Turning against their Masters.
Angalia hiyo Video ambayo Raia wasio na Hatia wanavyo Pigwa Mabomu. Hao wapigaji sio ISIS, Alqaeda wala Alshabab. Ila hao wanoa uliwa nadhani sio Binadamu.
Kumbe ndo maana ukaitwa MZIMU hahahaha hakika,we ni kweli mzimu.Kwanza Kabisa unaelewa kwamba hayo Makundi yote Yameanzishwa na Secret services za Nchi Za Ulaya na Israel (Failed COVERT OPERATIONS.) Hakuna Muislamu yoyote anaejua Uislamu halisi anaweza kuyasapoti hayo makundi. Kwani Mauji wanayofanya hayana Tofauti na Mauaji kwa watu wasio na hatia kule Palestine, Libya, Iraq, Syria, Yemen na Aghfanistani. Hao wote wanauwa watu wasio na hatia. Iwe ni USA, FRANCE, ISRAEL au SAUDI ARABIA. Kwahiyo Usifunge jicho Moja unapokua unaangalia Ukweli wa Mambo. Usijaribu kuhalalisha hata Siku Moja kua kuna Mauji Mazuri na Mabaya. MAUAJI NI MAUJI TU. Iwe ni kwa Bomu au Kwa Kisu. Inategemea ujumbe gani unataka kuufikisha.
Vile vile lazima Ujue kua Kwa hali ambayo Raia Wasiokua na Hatia wanafanyiwa, Iwe Muislamu au Muislamu Mtarajiwa, inakua Rahisi sana kujiunga na Makundi hayo. Ingawa initially they were COVERT OPERATIONS. Now they are Failed Covert Operations Turning against their Masters.
Angalia hiyo Video ambayo Raia wasio na Hatia wanavyo Pigwa Mabomu. Hao wapigaji sio ISIS, Alqaeda wala Alshabab. Ila hao wanoa uliwa nadhani sio Binadamu.
we huna akili kweli, Baadhinyenu ni wauaji kama hamjui mnaidharirisha dini yenu, dunia nzima mmekuwa wakorofi na wauji kila kona, acha kusingizia Israel lile ni Taifa la Mungu na kamwe hamtaweza kulibabaisha kwa lolote, Mungu kawapa uwezo wa kila kitu, nyienendeleeni na unyama wenu huo.
Kumbe ndo maana ukaitwa MZIMU hahahaha hakika,we ni kweli mzimu.
wewe gaidi lazima tukufatilie wewe, ndo watu wasiopenda amani kama nyie mnaohusika na mauaji hata kule Kenya.Majibu rahisi kwa hoja Ngumu. Change your Mind set Brother. I hope Umeelewa. Next!
wewe gaidi huna lolote hatukuhitaji humu, nenda kaongee na mizumu wenzio huko hao wauaji.Facts: Israel Giving Arms And Fighting alongside ISIS against Syria. Wath this Video.
CC. RAPTOR 22, Ebola Hatari, claudielakimu na MWASI MWAKENDA