Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Unachokiongea hapo wenzio wala hawakuelewi? ongea lugh ay wengi bhana ucjifanye kuwa we unajua hiko kilugha.
Bigteacher nawe umefufukia wapi! Inallah Maswabrina. Wabillah Tawfiq. Soma katiba Inayopendekezwa ujue mambo usizoee kumeza kama ulivyomeza hiyo aya isiyo aya!
 
Laatuaniquu jawahiril ulumi fii unuqil-khinzir
Swadaqa Aalim al Allamaa
Ukisha malaiza tulaana twako mbuzi.

Nionyeshe. Wapi Allah kasema muanzishe Mahakama ya Kadhi? Nipe aya bana.
 
kwani cyber crime haijapita kule mjengoni?maana waonekana mchochezi weye
 
Kama munapenda matusi mupeane namba za simu mutukanane huko whatsapp
 
Unashangaa nini hapa au huelewi kusoma?

Baada nyaraka kusambazwa makanisani kumpinga na waislamu kuwashtukia na kuamua kumrudisha Madarakani, leo amekua rais mzuri kwa kuwasaliti waliomuweka madarakani. Chui waliovaa ngozi ya kondoo.
 
Bwana hayo ya Kadhi, Buzz, Canon Law, Sharia Law, Decagon na Mengine mengi tunawaachie ninyi watu wa dini. Hapa wazalendo soma Katiba Inayopendekezwa ili ikishapita waanze mambo ya ammendments. Pokea hicho.

Duh! Hakuna ubinadamu bila sheria.
 
Mi mwenyewe nimesoma vizuri nimeielewa segment ya Mhe.Rais Jakaya Kikwete lakini ya kwako sijaielewa umepIga bonge la mchanyato na kutangaza jihad!!

Kwanza jihadi unajua maana yake?
 
Acha kujificha kwenye kivuli chako Juha wewe. Soma uwelewe nini kimeandikwa.

Mzimu unajichanganya mwenyewe kwani nini umekiandika,unajifanya hujui nini kinaendelea kwa kifupi kasome vizuri Ibara ya 41 kwenye Katiba Pendekezwa utapata majibu sahihi na hutarudi tena hapa,hii hali ndio watanzania tunaitaka.
 
Baada nyaraka kusambazwa makanisani kumpinga na waislamu kuwashtukia na kuamua kumrudisha Madarakani, leo amekua rais mzuri kwa kuwasaliti waliomuweka madarakani. Chui waliovaa ngozi ya kondoo.

Mzimu Rais wa Jamhuri sio wa Waislamu peke yao ni wa watanzania wote, kama unafikiri alichaguliwa na waislamu au wakristo pekee unajidanya na unahitaji kuongozwa sala ya toba uokoke wewe.
 
Ukisha malaiza tulaana twako mbuzi.

Nionyeshe. Wapi Allah kasema muanzishe Mahakama ya Kadhi? Nipe aya bana.

Huyo Ishmael anapenda ligi kutaka kutuvurugia katiba na kuleta ya kwake tusiyoijua hapa, wala hatukupi nafasi.
 
Ubinadamu wa sheria unaoutaka ni wewe mwenyewe kufuata sheria za nchi!

Mzimu unajichanganya mwenyewe kwani nini umekiandika,unajifanya hujui nini kinaendelea kwa kifupi kasome vizuri Ibara ya 41 kwenye Katiba Pendekezwa utapata majibu sahihi na hutarudi tena hapa,hii hali ndio watanzania tunaitaka.

Katiba ya Chenge au Warioba!
 
Mzimu Rais wa Jamhuri sio wa Waislamu peke yao ni wa watanzania wote, kama unafikiri alichaguliwa na waislamu au wakristo pekee unajidanya na unahitaji kuongozwa sala ya toba uokoke wewe.

Amechaguliwa na Waisilamu na Wakristo wenye nia njema na Nchi hii. Sio hao wakiristo ambao kwao wao ni kama ilivyokua wakati wa kudai uhuru, ni Ukiristo kwanza Tanzania baadae!
 
Wakati Nyaraka zinasambazwa Makanisani katika uchaguzi wa 2010, CCM walikimbilia Misikitini na kujinusuru. Na kweli hiyo karata imekua ikiwasaidia tangu zamani. Not any More. You will see. Mark My words. BAKWATA, haiwakilishi Waisalamu kabisa zaidi ya wale Masheikh bora liende nipate tonge Mdomoni.


Mzimu unapenda sana malumbano ya kidini humu sijui unacheo gani kwenye msikiti wako maana hata sikuelewi ndugu,usipende kuongea maneno ya kuwadharirisha waislamu na kuwaunganisha wote na mpango wako huu usiolitakia mema taifa la Tanzania!naomba utambue kuwa waislamu ni watu makini,na wako timamu na wenye uwezo wa hali ya juu katika kufanya mambo yao hata siku moja usikae ukajifariji na kuwaza kuwa siku moja itatokea serikali iwadharau watu wake hata kidogo!
 
Lazima Serilari ielewe kuwa hilo ni bomo linasubiri Muda tu!
 
Back
Top Bottom