Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Jitokeze kujiandikisha,shiriki kupiga kura ya maoni ili tupate katiba mpya kwa maendeleo ya taifa letu.wakati ni sasa
 
Kama unahitaji kuolewa sema nije kukutolea mahali maana unashobo sana kama demu! We unaona ulichoandika hapo ni cha maana? Huna jipya wewe ondoa mambo yako ya dini hapa, kahubiri huko kwenu msikitini.

Ushoga Peleka kanisani sio humu JF. Hapa ni hoja tu!
 
Kama unahitaji kuolewa sema nije kukutolea mahali maana unashobo sana kama demu! We unaona ulichoandika hapo ni cha maana? Huna jipya wewe ondoa mambo yako ya dini hapa, kahubiri huko kwenu msikitini.

Nyinyi ndio chanzo cha ugaidi huna lolote wewe, umezungumzia ushoga tu inamana ndo umeona tatizo kubwa hilo hapa duniani? Je ugaidi unaofanywa na waharabu wa ISIS, ALSHABAB, ALNUSRA, ALQAEDA ndo useme ni dini isiyo na ubaya, acha porojo wewewe.

Tanzania ni nchi inayoheshimu uhuru wa kuabudu hilo la Mahakama ya Kadhi sio wakati wake!

Wale wale Bendera fata upepo!
 
Japo Mnamponda MZIMU lakini yupo vizuri kudadavua hii MADA!

Amewashka WAGALATIA korodani hawana ujanja...
 
Wale wale Bendera fata upepo!

Hoja yako iko wapi kama sio ushabiki na kuendekeza udini hapa!masuala ya kidini badala ya kuyamaliza waumini wenyewe na viongozi wa dini mnataka Serikali iwasaidie, tena mnashawishi kwa hoja ya nguvu Watawala wavunje Katiba hilo haliwezekani na hapa hatudanganyiki,jipangeni upya masuala yenu myamalize wenyewe msizingue serikali kwa ndoa zenu wenyewe!
 
Japo Mnamponda MZIMU lakini yupo vizuri kudadavua hii MADA!

Amewashka WAGALATIA korodani hawana ujanja...
Ameshika za kwake na ndo maana hoja yake imepuuzwa na Serikali,Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haientertain masuala ya dini kuhusishwa na serikali?ni marufuku sasa wewe unaungana na wenzio kufanya uhaini dhidi ya katiba never hilo litatokea Somali,Iran,Iraq na Oman na sio Tanzania.
 
Kama unahitaji kuolewa sema nije kukutolea mahali maana unashobo sana kama demu! We unaona ulichoandika hapo ni cha maana? Huna jipya wewe ondoa mambo yako ya dini hapa, kahubiri huko kwenu msikitini.

Nyinyi ndio chanzo cha ugaidi huna lolote wewe, umezungumzia ushoga tu inamana ndo umeona tatizo kubwa hilo hapa duniani? Je ugaidi unaofanywa na waharabu wa ISIS, ALSHABAB, ALNUSRA, ALQAEDA ndo useme ni dini isiyo na ubaya, acha porojo wewewe.

Hoja yako iko wapi kama sio ushabiki na kuendekeza udini hapa!masuala ya kidini badala ya kuyamaliza waumini wenyewe na viongozi wa dini mnataka Serikali iwasaidie, tena mnashawishi kwa hoja ya nguvu Watawala wavunje Katiba hilo haliwezekani na hapa hatudanganyiki,jipangeni upya masuala yenu myamalize wenyewe msizingue serikali kwa ndoa zenu wenyewe!

Ameshika za kwake na ndo maana hoja yake imepuuzwa na Serikali,Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haientertain masuala ya dini kuhusishwa na serikali?ni marufuku sasa wewe unaungana na wenzio kufanya uhaini dhidi ya katiba never hilo litatokea Somali,Iran,Iraq na Oman na sio Tanzania.

Ni vyema ukaisoma hii thread kutokea mwanzo. Kuna hoja nyingi zimejadiliwa. Ila kunawatu kama nyinyi mnajiribu kuuficha moto kwa kuualia . Ndio maana unasema huja ona hoja humu. Sawa. Endeleeni kuuficha huo moto kwa kuulia. Kutumia nguvu za dola kuzima ukweli hakujengi nchi yoyote Duniani. Mifano ipo mingi sana duniani.

Waiaslamu ni Kundi kubwa sana katika nchi ya Tanzania. Huwezi kudharau Ustawi wa kundi hilo ukatarajia kua hiyo nchi inaweza kuendelea kwa style hiyo.

Haiwezikani. Fuatilia hoja mbali mbali nilizo zitoa hapo mwanzo kama unakili zako mwenyewe sio za kushikiwa then sema ukweli hata kama unauma.


Kua Mkristo sio hoja pekee ya kupinga kuwepo Mahakama ya Kadhi, kwani hakuna kitu hata kimoja kinacho husiana Ukisristo au Imani nyengine ambacho kiliwahi kupingwa na Waislamu. Ila kila jambo linawahusu Waislamu hasa lenye Manufaa kwa Waislamu, Wakristo ndio wanao jitokeza kupinga jambo kwa nguvu zao zote hata kama haliwahusu kabisa. Watotoa visingizio Mbalimbali vya hadaa kuhalalisha hilo.

Mifano ya hili sitaki kuirudia soma hii thread kutokea mwanzo.
 
Kaka hata sikuungi mkono kwamba mlimchagua kikwete ili apitishe mahakama ya kadhi sasa amegoma sasa mnatafut mwingne hii sio sahihi chagua kiongoz bor nasio wakupitisha mamb yenu lkn pia km mwenzenu kawagomea hamuoni km yawezekana jambo hili hakuwezekani nawashauri mjipange wenyewe km alivyosema mh raisi
 
Ni vyema ukaisoma hii thread kutokea mwanzo. Kuna hoja nyingi zimejadiliwa. Ila kunawatu kama nyinyi mnajiribu kuuficha moto kwa kuualia . Ndio maana unasema huja ona hoja humu. Sawa. Endeleeni kuuficha huo moto kwa kuulia. Kutumia nguvu za dola kuzima ukweli hakujengi nchi yoyote Duniani. Mifano ipo mingi sana duniani.

Waiaslamu ni Kundi kubwa sana katika nchi ya Tanzania. Huwezi kudharau Ustawi wa kundi hilo ukatarajia kua hiyo nchi inaweza kuendelea kwa style hiyo.

Haiwezikani. Fuatilia hoja mbali mbali nilizo zitoa hapo mwanzo kama unakili zako mwenyewe sio za kushikiwa then sema ukweli hata kama unauma.


Kua Mkristo sio hoja pekee ya kupinga kuwepo Mahakama ya Kadhi, kwani hakuna kitu hata kimoja kinacho husiana Ukisristo au Imani nyengine ambacho kiliwahi kupingwa na Waislamu. Ila kila jambo linawahusu Waislamu hasa lenye Manufaa kwa Waislamu, Wakristo ndio wanao jitokeza kupinga jambo kwa nguvu zao zote hata kama haliwahusu kabisa. Watotoa visingizio Mbalimbali vya hadaa kuhalalisha hilo.

Mifano ya hili sitaki kuirudia soma hii thread kutokea mwanzo.
Mzimu huchoki tu na mada zako za udini nahisi wewe utakua umelogwa sio bure wewe!Tanzania ya sasa unataka kuipeleka kwenye utawala wenye udini?aisee inabidi ukapimwe vinasaba tujue asili yako!
 
Kaka hata sikuungi mkono kwamba mlimchagua kikwete ili apitishe mahakama ya kadhi sasa amegoma sasa mnatafut mwingne hii sio sahihi chagua kiongoz bor nasio wakupitisha mamb yenu lkn pia km mwenzenu kawagomea hamuoni km yawezekana jambo hili hakuwezekani nawashauri mjipange wenyewe km alivyosema mh raisi

Afadhali ndugu na wewe umeliona hili kuna watu humu ni sheedah afu huyu Mzimu agenda yake ni hii hii hana issue nyingine zaidi ya udini never hili suala halikubaliki!
 
Kaka hata sikuungi mkono kwamba mlimchagua kikwete ili apitishe mahakama ya kadhi sasa amegoma sasa mnatafut mwingne hii sio sahihi chagua kiongoz bor nasio wakupitisha mamb yenu lkn pia km mwenzenu kawagomea hamuoni km yawezekana jambo hili hakuwezekani nawashauri mjipange wenyewe km alivyosema mh raisi

Mzimu huchoki tu na mada zako za udini nahisi wewe utakua umelogwa sio bure wewe!Tanzania ya sasa unataka kuipeleka kwenye utawala wenye udini?aisee inabidi ukapimwe vinasaba tujue asili yako!

Afadhali ndugu na wewe umeliona hili kuna watu humu ni sheedah afu huyu Mzimu agenda yake ni hii hii hana issue nyingine zaidi ya udini never hili suala halikubaliki!

Kikwete hatukumchagua ili apitishe Mahakama ya Kadhi wala hana uwezo huo kama Rais. Baada ya Kampeni za Udini dhidi ya Kikwete kupamba moto Makanisani kutoka na Nyaraka mbali mbali zilizo kua zikisambazwa makanisani dhidi ya Kutomchagua kikwete, hapo ndio Waislamu walipo ingilia kati na kuonyesha nani ana karata ya Turufu katika hilo.

Kama mlivyo ona katika Sensa, basi aminini na waambia kua, ndivyo itakvyo kua October. Hatuta chagua mtu kwa Sababu ni Muislamu, hiyo sio Desturi yetu. Bali tuta chagua Wale watakao heshimu mawazo yetu na Uhuru wetu wa Kuabudu kama Waislamu bila kujali wanatokea Chama gani ispokua CCM.
 
Kikwete hatukumchagua ili apitishe Mahakama ya Kadhi wala hana uwezo huo kama Rais.d Baada ya Kampeni za Udini dhidi ya Kikwete kupamba moto Makanisani kutoka na Nyaraka mbali mbali zilizo kua zikisambazwa makanisani dhidi ya Kutomchagua kikwete, hapo ndio Waislamu walipo ingilia kati na kuonyesha nani ana karata ya Turufu katika hilo.

Kama mlivyo ona katika Sensa, basi aminini nawaambia kua, ndivyo itakvyo kua October. Hatuta chagua mtu kwa Sababu ni Muislamu, hiyo sio Desturi yetu. Bali tuta chagua Wale watakao heshimu mawazo yetu na Uhuru wetu wa Kuabudu kama Waislamu bila kujali wanatokea Chama gani ispokua CCM.

Umeshahamasisha wangapi wasipige kura?chenga sana na kampeni zako za chini ya mwembe ha ha ha ha dogo unafanya maigizo hapa!!!!tangu lini mkia ukazidi kiwiliwili?wewe unapoteza muda wako watanzania hatudanganyiki!!!! Kama ilivyokua kwa Sensa 2012,uchaguzi utafanyika na rais ataapishwa uwanja wa Uhuru na mizinga 21 itapigwa na JWTZ kutoa heshima ishara ya Kuingia kwa Amiri Jeshi mpya afu wewe na kundi lako muandamane kumpinga rais asiapishwe mkione cha moto na uhaini wenu!
 
Nani WHISTLE BLOWER....mambo yanaiva...njia nyeupeeeeeee....Waislamu wakiamua wameamuwa.
 
Umeshahamasisha wangapi wasipige kura?chenga sana na kampeni zako za chini ya mwembe ha ha ha ha dogo unafanya maigizo hapa!!!!tangu lini mkia ukazidi kiwiliwili?wewe unapoteza muda wako watanzania hatudanganyiki!!!! Kama ilivyokua kwa Sensa 2012,uchaguzi utafanyika na rais ataapishwa uwanja wa Uhuru na mizinga 21 itapigwa na JWTZ kutoa heshima ishara ya Kuingia kwa Amiri Jeshi mpya afu wewe na kundi lako muandamane kumpinga rais asiapishwe mkione cha moto na uhaini wenu!

Njia nyeupee ya kuelekea gerezani!

Jaribuni kuelewa hoja za kilicho andikwa na kusoma alama za nyakati. Huu ni wakati Mwengine kidogo. You can't fool all the People all the Times.

Labda wewe ndio ukotayari kuuza utu wako kwa kuogopa Gereza. Go back to the history books and see how Jails have transformed activists.

You can kill a person but you can not kill an Idea. Just a street vendor exiled the former President of TUNISIA.

Jaribuni kua Realistic kidogo.
 
Kaka hata sikuungi mkono kwamba mlimchagua kikwete ili apitishe mahakama ya kadhi sasa amegoma sasa mnatafut mwingne hii sio sahihi chagua kiongoz bor nasio wakupitisha mamb yenu lkn pia km mwenzenu kawagomea hamuoni km yawezekana jambo hili hakuwezekani nawashauri mjipange wenyewe km alivyosema mh raisi

Unakubali kwenye Ilani yao ya uchaguzi waliweka Mahakama ya Kadhi..?????Hebu kwa ufasaha zungumzia hilo na ni kwa nini hakuna kiongozi yeyote anayezungumzia kuhusu hiuo ilani ya uchaguzi.Mh.mbona ni swala rahisi na ni uungwana kusema imeshindikana kama nilivyoahidi.
 
Unakubali kwenye Ilani yao ya uchaguzi waliweka Mahakama ya Kadhi..?????Hebu kwa ufasaha zungumzia hilo na ni kwa nini hakuna kiongozi yeyote anayezungumzia kuhusu hiuo ilani ya uchaguzi.Mh.mbona ni swala rahisi na ni uungwana kusema imeshindikana kama nilivyoahidi.

Weka attachment hapa!afu tutakuelewa vizuri then tutakuambia Ilani ya uchaguzi maana yake nini?
 
Jaribuni kuelewa hoja za kilicho andikwa na kusoma alama za nyakati. Huu ni wakati Mwengine kidogo. You can't fool all the People all the Times.

Labda wewe ndio ukotayari kuuza utu wako kwa kuogopa Gereza. Go back to the history books and see Jails have transformed activists.

You can kill a person but you can not kill an Idea. Just a street vendor exiled the former President of TUNISIA.

Jaribuni kua Realistic kidogo.

Wewe nahisi unakaribia kuehuka!!!!! Thread ya mahakama ya Kadhi unaifananisha na street vendors wa Tunisia,kuna uhusiano gani hapo!sasa nimegundua kuna agenda nyuma ya pazia hakuna na madai ya mahakama wala nini kuna agenda ya kufanya uhaini!!!! Teh teh teh dont try this at home!!!
 
Back
Top Bottom