Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hahhahaaaa unajifanya hujaskia eeeeh, haya anasema hivi mlichezeana rough wenyewe, dogo kapewa pesa kwa ajili ya kung'oa mabango ya CDM sh.150,000Ts akawazidi wenzie, jamaa wakaamua kumfanyizia na kwamba hakuna mtu wa CDM aliyehusika, hapo pia hujaelewa? njoo na jipya tena kama unalo
ANASEMAJE mbona sion na kusikia chochote?
 
Yaani hizi picha mbili zimenichekesh mpaka basi, huu ndiyo haswaa uungwaji mkono wa CCM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kweli hii kali. wanatumia njaa iliyoko ndani ya jamii kuomba kura. Hapo wanaoneshwa kidogo alafu wanaambiwa walipiga kura kwa sisiemu watakula zaidi loh!!!
 
Chanzo tafwadhali au ni UHURU PUBLICATION!
 
biashara kama hiyo ni ya CCM muda ukifika watasemana wenyewe kwa wenyewe, tunamtaka na aliyetoa hizo hela awekwe hadharani.

siasa uchwara zinaendelea Igunga, naogopa asijetajwa yule aliyeachana na siasa 'uchwara' kuhusika
 
Regia bana,

"M. Mchemba" anasema waliofanya kitendo hicho ni CDM 'people's power'

Anayesema ni CCM ni huyo kijana mwingine anajiita mwana CCM. Je tutaamini vipi ni mwana CCM kweli na nyie CDM hamjampa pesa aseme hivo?
Hiyo video nyie wenyewe ndo mmeiandaa.

Utata unabaki pale pale.
 
Kamanda Regia mbona kila Mtanzania alijua tangu siku ya pili yake tu kwamba ni wale vijana wa USALAMA WA CCM ndio waliohusika na huo mchezo wa tindikali Igunga kama ilivyowahi kutokea miaka fulani Dar.
 
Jana nilimwambia Member anayekuja kwa jina la Mbopo kuwa hii kesi imewakalia vibaya ni muda tu unasubiriwa ili wahusika watajwe ndiyo maana waliamua kukodi ndege ya private kumpeleka mbali Muhimbili ili kumtenga na wezake wa karibu na kumfundisha jinsi ya kujibu, lakini nawaambia ukweli utawekwa wazi, Mwigulu katoa hela kwa makundi mawili tofauti halafu kesho yake anapanda jukwaani kulalamika shame on you muuaji mkubwa.
 
Nape umekwisha ulitoa pesa ili kucha picha za CHADEMA vijana wako wazidiana kete wakamwangiana tindikali ukaenda kwenye mitandao ya kijamii kusema kuwa nai CHADEMA ndiyo wamefanya kazi hiyo sasa njoo na jingine....tunajua njia ya kubandua picha za chama pinzani huwa mnaitumia sana...
 
Mkutano wa ccm watu wengi walienda kutizama Ze Comedy siyo hotuba ya ufunguzi ya Rais Mstaafu kwani hana jipya la kuwaeleza watanzani yeye mwenyewe ni Fisadi Mkubwa,Ingekua siyo kinga aliyonayo alitakiwa ashtakiwa kwenye kesi ya akina Mramba. Ipo siku watakamatwa wote na kushitakiwa na siyo mbali baada ya uchaguzi wa 2015, watakoma!
 
Unategemea atasema nini wakati yeye ndiye mwenye dili na mtoa pesa wamemtia kilema cha maisha kijana wa watu kwa tamaa za ubunge najua akipona atayasema yote, CCM wanarudia yale yale ya Kubenea ila uharamia huu utalipwa hapahapa.
 
ha ha ha nadhani gazeti la uhuru la leo litakuwa limeshaujua ukweli..naomba kesho lisahihishe habari wa liochapa leo..magamba bwana ufisadi mpaka kwa wananchi wa kawaida
 
Hawa CCM si waliwahi hata kumwaga "unga unga" bungeni! Pamoja na kuonekana na kamera za ukumbi wa bunge bado wakabisha. Kwa hiyo hawa watu kudhuriana ni kawaida yao.

Wapi Papaa Kolimba? Wapi Mamaa Mbatia? Wapi
 
msosi+ze komedi+ wanatarabu mlitegemea nini?? Chadema watu walifuata sera na si chakula kama ambavyo magamba wamefanya
 
Siasa chafu za kufanyia jaribio la tindikali kwenye mwili wa huyu kijana masikini mwenzetu wa Igunga si nzuri.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…