Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
tofauti kubwa kati ya stori ya cdm na ccm.

Stori ya huyu kijana anayejiita mwana ccm inaonekana ku make sense zaidi kuliko ile ccm ya kusema kuwa vijana wa chadema walimwona kijana wa ccm anabandika picha ukutani wakaamua for no reason kumwagia tindikali.

Tanzania hatujafikia level hiyo ya kumuona mtu anabandika picha ya mgombea wake akamwagiwa tindikali kama ndiyo hivyo basi kwenye uchaguzi wa mwaka 2010 ingekuwa vita kila mahala ila inaweza kufanyiwa unyama kama huu kwa kudhurumu watu na hata zaidi ya huo kwa maana ya kifo.
 

Ushauri huu ni wa kizalendo zaidi.
kama ni kweli ccm walifanya walicho fanya,....(hiyo ni upande wa kwanza)
na kama chadema hawakufanya uchakachuzi ili wajisafishe,........(kwa upande mwingine)
basi chadema na wamshitaki aliye sababisha kilema cha kijana yule,maana ushahidi wanao
 

Hahahaaa...kumbe umemgungua eh...! jamaa kwishnei!
 

Alichofanya Regia ni kutoa information tu, kama ni uchunguzi si kazi yako wala ya Regia maana vyombo husika vipo! Kwani tatizo lako ni nini?Pokea taarifa kama huipendi anza...!
 
 
Unaona sasa umekasirika mpaka akili imehama unahamaki bure mpaka unatukana, unanipa unyonge sana ndugu yangu. Lakini nimekusamehe najua ni hasira tu, ngoja nikuombee kwa Mods! Msimpige BAN ni hasira tu hizo

ritz vp wewe? mbona unapenda sana kumuandama matola?
 
Ki u halisia hatupaswi kuamini kwamba haiungwi mkono lakini ni kweli kwamba kuinga mkono ccm ni jinga pia na ni ushahidi tosha kwa mtu anaekiunga mkono ccm ni anatarajia nafasi ya ndani ya chama au ni fisadi na mwizi wa mali ya umma na anapenda uongozi legelege kama ulivyo sasa,uongozi unaotoa mwanya nchi kuwa mikononi mwa watu fulani wenye pesa zilizotokana na mali ya umma,na wengine ni wale waliokuwa madarakani hasa ukuu wa kaya na wasaidizi wao kwa yale maovu walioyatenda mtetezi wao ni ccm,hata vijana unaosema wanaiunga mkono ccm ni wale wanaotarajia uongozi ndani ya chama au serikalini, na wengine ni wale wasio kuwa na uewela wa mambo tu hata yale ya kawida na kundi hili liko zaidi vijijini.lakini niseme tu kwamba kwa mwenye akili timamu kabisa awe kijana au umri wa kati au mzee hawezi kuunga mkono ccm hata siku moja.kwani yanayoendelea leo nchini wala haihitaji uwe na digrii kuona uozo wa serikali ya ccm na ushabiki wa kulinda maslahi yao ya kifisadi.
Hatutabweteka kwa hali ya kungwa mkono tunayoiona leo.
Hata igunga wakifanya tafakari nzuri usishagae Kafumu akaangushwa,kwani kipimo ni hii hali ya kuchanganyikiwa kwa viongozi wa ccm tena wa ngazi ya juu kwa vituko wanavyofanya.
Haiingii akilini mseme RA ni sehemu ya gamba nae aseme amechoswa na siasa uchwara kisha kesho mmwite kuja kumkampenia mtu anatoka kwenye chama chenye siasa uchwara,na jingine ni vipi Nape hakanyagi huko?na leo kwanini hazungumzi kuhusu magamba?je leo RA si gamba au ni gamba?
 

kwani hujui ka walinunua bajaji 100 kufanya kama ambulance mwe
 
kweli huyu ni kibabu na mshamba wa mapenzi na atakua anaongea kwa kutumia ****** sio mdomo mwe
 

Mods,this is mwita25 i suggest muunganishe id zake kwenye ban yake
kuliko kuendelea kudhani kuna member wengi JF kumbe wakipewa ban
wanarudi na majina mengine.
 
Hawa CCM si waliwahi hata kumwaga "unga unga" bungeni! Pamoja na kuonekana na kamera za ukumbi wa bunge bado wakabisha. Kwa hiyo hawa watu kudhuriana ni kawaida yao.

Wapi Papaa Kolimba? Wapi Mamaa Mbatia? Wapi

ha ha haaa.. jamani hata kucheka kupo.

.ila nadhani kilichosemwa kinaweza kuwa na ukweli.. tukio lakumwagiana tindikali, maji ya sumu, mitego ya noti na kadhalika.. hufanyika kwa lengo la kulipiza kisasi na si taharuki ya shambulio la mapenzi ya kiimani au kisiasa. taharuki ya mapenzi ya kiimani au kisiasa inayoweza kumpelekea mtu kufanya vitendo kama hivyo, hulenga kundi la watu au mtu mashuhuri (key person).. tokea tukio la tindikali litokee huko wilayani, nimekuwa nikijiuliza, how come.. how a no titled person be a victim to malicious act like that.. kama kumwagiana tindikali kungefanyika kwa upenzi wa kisiasa basi tukio hilo lingefanyika kwenye mkusanyiko wa watu wengi na kuleta madhara kwa zaidi ya mtu mmoja, likiwa na lengo la kuwaogopesha wananchi wasihudhurie mikutano mingine ya chama husika...
sasa iweje mtu mmoja atekwe, asiye na hili wala lile, apelekwe asipojulikana na amwagiwe tindikali, tafadhali waandishi makini mtembeleeni kijana huyo, mumuulize maswali chanzo cha ajali yake, mtujuze.
 
si wakalale kwa mwalimu wao wanayemtafutia kula?
ni kweli Bwana kandambili si kiatu, na uwezo wako kufikiri hapo ni mwisho
  • hujui kuwa Igunga anatafutwa mwakilishi mbadala wa RA aliye choshwa na siasa za chama chako alicho kivumilia kwa miaka 17 !!!
  • hujui CDM ni wengi walienda kwenye Campamn ili kuhakikisha jimbo linakombolewa
  • hujui kabisa mweeeee mhhh!!!!!!!!!!
 
si dhani kama unaelewa mantini ya kuweka Source ya taarifa
 
naona anaefuata kwa kura bila kujali chama amalizie madaraka, nadhan ingepunguza garama au mnaonaje wadau

Unataka baadhi ya wabunge wauawe kwa ajili ya kugombea kuridhi kiti cha ubunge?

 

Ila jamani uongo mbaya.. picha hii tuitoeni humu jamani, mara zote inatutia majaribuni hasa kwetu sisi huku twabana sana matumizi, mlo mmoja kwa siku, sometimes njaa inakaba.. aa ufanyeje unavumilia tu.. sasa tukikumbana na picha hii.. aah jamani.. aaah unakumbuka wali wa home, watu wanapika atiii.. kitu ikipikwa pale hadi nyumba ya balozi wa pili kule kwa mama nanihii khabar yake wanaipata.. kisha ndo anadondoshwa jogoo ambaye hajachakachuka na midawadawa, wanawake wa pande ile unaambiwa wanamkaanga hao.. unavutwa mchuzi wa kufa mtu.. kitu inanyunyizwa juu ya sinia lililojaa khabar yenyewe.. ahh.. mlo wa kengele.. unankumbusha mbali mwenzenu.. nashauri kitu kama hii asogezewe huyo aliyeogeshwa tindikali, babake harufu yake tu.. mzuka unapanda.. atapona na kusahau kama aliwahi mwagiwa ile kitu nafanya betrii ya gari ichemke..
Big up Tanzania FOOD
 
hapa bado hujaeleweka yaani TITLE na CONTENT ni irrelevant kabisa kama huna source basi mwaga data zako kwa kina mkuu
 
Diwani Nanyaro nakubaliana na wewe,
Msimamo wako ulionesha katika sakata la madiwani wa Arusha ulinifurahisha sana naomba unipigie kwa namba zangu kwenye signature yangu.
Mikael P.
Ebu acha kutumia JF, kama kitengo cha CDM, sasa unamwambia akupigie mtumie airtime wewe ndio si una shida nae.
Kwani huwa hamkutani kwenye maandamano yenu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…