Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
tofauti kubwa kati ya stori ya cdm na ccm.

Stori ya huyu kijana anayejiita mwana ccm inaonekana ku make sense zaidi kuliko ile ccm ya kusema kuwa vijana wa chadema walimwona kijana wa ccm anabandika picha ukutani wakaamua for no reason kumwagia tindikali.

Tanzania hatujafikia level hiyo ya kumuona mtu anabandika picha ya mgombea wake akamwagiwa tindikali kama ndiyo hivyo basi kwenye uchaguzi wa mwaka 2010 ingekuwa vita kila mahala ila inaweza kufanyiwa unyama kama huu kwa kudhurumu watu na hata zaidi ya huo kwa maana ya kifo.
 
Regia,

Asante kwa video. CHADEMA kama chama kinachopenda amani, mpelekeni huyo kijana polisi ili alisaidie jeshi la polisi.

Hizi kanda za propaganda mtu yeyote anaweza kutengeneza kuanzia hao CCM mpaka nyie CHADEMA. Muhimu kwa wananchi ni kuhakikisha usalama wa raia.

Huyu kijana kama ameweza kujua hayo yote na mpaka pesa zilizotolewa basi na yeye ni mhusika na mahali pa kutoa ushahidi huo ni polisi.

Ni aibu kwa chama chochote cha siasa kufumbia kosa hilo. Vyama vyote vishirikiane kuhakikisha waliohusika wanakamatwa maana tukianza kumwagiana tindikali wala hayatishia hapo.

Ushauri huu ni wa kizalendo zaidi.
kama ni kweli ccm walifanya walicho fanya,....(hiyo ni upande wa kwanza)
na kama chadema hawakufanya uchakachuzi ili wajisafishe,........(kwa upande mwingine)
basi chadema na wamshitaki aliye sababisha kilema cha kijana yule,maana ushahidi wanao
 
Ingia kwa ile ID yako halisi ya Mwita25, kwa nini unaogopa unaingia kivingine? kwisha habari yenu na sasa subilini hukumu kutoka kwa wananchi wa Igunga, halafu naomba nikushauri hii fake English yako peleka kwa washamba wenzako kama wewe na sio hapa JF.

Hahahaaa...kumbe umemgungua eh...! jamaa kwishnei!
 
Kwani aliyemwagiwa Tindikali amekufa mpaka asemewe na kijana wa kijiweni? Kama ni suala la kudai tu, unaweza kudai hata anayeongea naye kapewa pesa. Ningeweza kumuamini japo kidogo kama angewataja kwa majina wale waliohusika, na sio hii habari ya kusuka suka. Mh, huyu kweli ni mbunge wa kuleta ushaidi huu wa KISHERIA kwa members zaidi ya elfu 50 wa JF na bado ategemewe kutunga sheria bungeni. Ama kweli ushabiki utatupeleka pabaya

Alichofanya Regia ni kutoa information tu, kama ni uchunguzi si kazi yako wala ya Regia maana vyombo husika vipo! Kwani tatizo lako ni nini?Pokea taarifa kama huipendi anza...!
 
Hii sio hoja ya kujadiliwa na watu wazima hapa, mrusha thread nenda facebook kwa watoto wenzako haraka, "If you have nothing say nothing"[/QUOMhhhh! Watu wazima, hoja ya kitoto!! Mbona umeijadili pia, hukuona kuwa ni ya kitoto ukawaacha watoto wajadiliane?
 
Unaona sasa umekasirika mpaka akili imehama unahamaki bure mpaka unatukana, unanipa unyonge sana ndugu yangu. Lakini nimekusamehe najua ni hasira tu, ngoja nikuombee kwa Mods! Msimpige BAN ni hasira tu hizo

ritz vp wewe? mbona unapenda sana kumuandama matola?
 
Ki u halisia hatupaswi kuamini kwamba haiungwi mkono lakini ni kweli kwamba kuinga mkono ccm ni jinga pia na ni ushahidi tosha kwa mtu anaekiunga mkono ccm ni anatarajia nafasi ya ndani ya chama au ni fisadi na mwizi wa mali ya umma na anapenda uongozi legelege kama ulivyo sasa,uongozi unaotoa mwanya nchi kuwa mikononi mwa watu fulani wenye pesa zilizotokana na mali ya umma,na wengine ni wale waliokuwa madarakani hasa ukuu wa kaya na wasaidizi wao kwa yale maovu walioyatenda mtetezi wao ni ccm,hata vijana unaosema wanaiunga mkono ccm ni wale wanaotarajia uongozi ndani ya chama au serikalini, na wengine ni wale wasio kuwa na uewela wa mambo tu hata yale ya kawida na kundi hili liko zaidi vijijini.lakini niseme tu kwamba kwa mwenye akili timamu kabisa awe kijana au umri wa kati au mzee hawezi kuunga mkono ccm hata siku moja.kwani yanayoendelea leo nchini wala haihitaji uwe na digrii kuona uozo wa serikali ya ccm na ushabiki wa kulinda maslahi yao ya kifisadi.
Hatutabweteka kwa hali ya kungwa mkono tunayoiona leo.
Hata igunga wakifanya tafakari nzuri usishagae Kafumu akaangushwa,kwani kipimo ni hii hali ya kuchanganyikiwa kwa viongozi wa ccm tena wa ngazi ya juu kwa vituko wanavyofanya.
Haiingii akilini mseme RA ni sehemu ya gamba nae aseme amechoswa na siasa uchwara kisha kesho mmwite kuja kumkampenia mtu anatoka kwenye chama chenye siasa uchwara,na jingine ni vipi Nape hakanyagi huko?na leo kwanini hazungumzi kuhusu magamba?je leo RA si gamba au ni gamba?
 
Hao CCM badala ya kununua ambulance na kuboresha vituo vya afya wanaagiza magari ya maji ya kuwashaya bei mbaya ili kudhibiti upinzani! hebu angalia aibu tuliyoipata juzi kwenye ajali ya meli! Hata vifaa vya kujiokolea hakuna! Msafara wa RAIS WETU MPENDWA uana magari ya anasa ni balaa!
Ngoja sasa tusikie porijo za viongozi wetu juu ya hili! Maana ilipotokea ajali ya MV Bukoba tuliambiwa mengi mno! lakini baadaye kama kawaida Business as usual! Miaka 50 ya Uhhuru bado hata usafiri wa majini wa kueleweka hakuna! Looh1 Hebu wafike mahali waone aibu! Watanzania sasa ni wakati wa kufanya mabadiliko NO MORE POROJO!

kwani hujui ka walinunua bajaji 100 kufanya kama ambulance mwe
 
Inawekana ikawa vigumu kuamini, lakini ni kweli imetokea kwenye mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za CCM jana jioni, ilipofika zamu ya mgombea ubunge wa CCM kujieleza na kuomba ridhaa ya wananchi, alimpandisha Mke wake jukwaani na kusema "MNAMUONA HUYU? HUYU NDIE MKE WANGU, MAMA KAFUMU, ALINICHAGUA MIMI NIWE MUME WAKE, KWA HIYO NA NYINYI NYOOTE FANYENI HIVYOHIVYO!"

Nadhani kwa kila aliehudhuria hawezi kubisha, sasa wengi wetu tusio na ushabiki wa kupitukia tulipigwa na butwaa, yaani sijui alikuwa anataka kutufanya nini sijui, maana kama ni hao wake zetu na dada zetu wamtake yeye Kama alivyotakwa na mkewe, yenyewe ni balaa tosha, lakini sisi wanaume wenzake, marijali tuliokamilika sijui ametuweka kwenye fungu gani?

Namuomba Dr Kafumu afanye uungwana kidogo atuombe radhi kwa kejeli hiyo, kwani na sisi pia tuna wake zetu waliotuona tunafaa wakatuchagua.
kweli huyu ni kibabu na mshamba wa mapenzi na atakua anaongea kwa kutumia ****** sio mdomo mwe
 
I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.

Mods,this is mwita25 i suggest muunganishe id zake kwenye ban yake
kuliko kuendelea kudhani kuna member wengi JF kumbe wakipewa ban
wanarudi na majina mengine.
 
Hawa CCM si waliwahi hata kumwaga "unga unga" bungeni! Pamoja na kuonekana na kamera za ukumbi wa bunge bado wakabisha. Kwa hiyo hawa watu kudhuriana ni kawaida yao.

Wapi Papaa Kolimba? Wapi Mamaa Mbatia? Wapi

ha ha haaa.. jamani hata kucheka kupo.

.ila nadhani kilichosemwa kinaweza kuwa na ukweli.. tukio lakumwagiana tindikali, maji ya sumu, mitego ya noti na kadhalika.. hufanyika kwa lengo la kulipiza kisasi na si taharuki ya shambulio la mapenzi ya kiimani au kisiasa. taharuki ya mapenzi ya kiimani au kisiasa inayoweza kumpelekea mtu kufanya vitendo kama hivyo, hulenga kundi la watu au mtu mashuhuri (key person).. tokea tukio la tindikali litokee huko wilayani, nimekuwa nikijiuliza, how come.. how a no titled person be a victim to malicious act like that.. kama kumwagiana tindikali kungefanyika kwa upenzi wa kisiasa basi tukio hilo lingefanyika kwenye mkusanyiko wa watu wengi na kuleta madhara kwa zaidi ya mtu mmoja, likiwa na lengo la kuwaogopesha wananchi wasihudhurie mikutano mingine ya chama husika...
sasa iweje mtu mmoja atekwe, asiye na hili wala lile, apelekwe asipojulikana na amwagiwe tindikali, tafadhali waandishi makini mtembeleeni kijana huyo, mumuulize maswali chanzo cha ajali yake, mtujuze.
 
si wakalale kwa mwalimu wao wanayemtafutia kula?
ni kweli Bwana kandambili si kiatu, na uwezo wako kufikiri hapo ni mwisho
  • hujui kuwa Igunga anatafutwa mwakilishi mbadala wa RA aliye choshwa na siasa za chama chako alicho kivumilia kwa miaka 17 !!!
  • hujui CDM ni wengi walienda kwenye Campamn ili kuhakikisha jimbo linakombolewa
  • hujui kabisa mweeeee mhhh!!!!!!!!!!
 
Hivi udini kweli apo upo wapi labda udini maana yake ni pana! Igunga CDM sio wageni na juzi tumeona wamefanya mkutano mkubwa tu.
Mgombea ubunge wa CDM ni mkazi wa Igunga sidhani kama atashindwa kuwatafutia nyumba CDM wenzake, wewe ulioleta hii mada ndio mdini
si dhani kama unaelewa mantini ya kuweka Source ya taarifa
 
naona anaefuata kwa kura bila kujali chama amalizie madaraka, nadhan ingepunguza garama au mnaonaje wadau

Unataka baadhi ya wabunge wauawe kwa ajili ya kugombea kuridhi kiti cha ubunge?

Mjadala alioibua Boss hapa ni idea nzuri kufikiria siku zijazo tunapofanya mabadiliko kwenye Katiba ya nchi. Sikubaliani na kwamba aliyeshika nafasi ya pili ndiye achukue kiti kwa sababu inaweza hatarisha usalama wa wabunge wengi.

Maoni yangu ingefaa kama ifuatavyo:
  • Utaratibu wa baadhi ya wabunge kuteuliwa na chombo cha juu kama rais ungeweza chukua nafasi.
  • Ratiba ya vyama vya siasa kupeana nafasi ya uteuzi huo kwa kadiri ya sheria zitakazowekwa.
  • Tume ya uchaguzi kushauriana na wanasheria, Msajili wa vyama vya siasa na wanasiasa ili kujaza nafasi hiyo.
Nchini Marekani inaelekea walishayapata matatizo hayo ndio maana wakaweka sheria ya Gavana wa State kufanya uteuzi baada ya kushauriana na vyombo kadhaa vya kisheria na kisha uteuzi huo hupitiwa na wahusika ili kuthibitishwa, na asipokuwa na kiwango kinachotakiwa anakataliwa.

Tukumbuke kuwa kwa sasa hivi uchaguzi unaofanyika huko Igunga ni nje ya bajeti ya serikali na vyama vya siasa, kwa maana hiyo pesa hizo zimechukuliwa kutoka kitengo cha maendeleo au huduma nyingine za jamii na kupelewa kwenye uchaguzi. Kesho tutailalamikia serikali kwa nini haijajenga barabara, haijaajiri walimu nk kumbe pesa zilizokusudiwa zimepelekwa kwenye chaguzi ndogo ambazo hazikuwa na budget.
 
attachment.php

Ila jamani uongo mbaya.. picha hii tuitoeni humu jamani, mara zote inatutia majaribuni hasa kwetu sisi huku twabana sana matumizi, mlo mmoja kwa siku, sometimes njaa inakaba.. aa ufanyeje unavumilia tu.. sasa tukikumbana na picha hii.. aah jamani.. aaah unakumbuka wali wa home, watu wanapika atiii.. kitu ikipikwa pale hadi nyumba ya balozi wa pili kule kwa mama nanihii khabar yake wanaipata.. kisha ndo anadondoshwa jogoo ambaye hajachakachuka na midawadawa, wanawake wa pande ile unaambiwa wanamkaanga hao.. unavutwa mchuzi wa kufa mtu.. kitu inanyunyizwa juu ya sinia lililojaa khabar yenyewe.. ahh.. mlo wa kengele.. unankumbusha mbali mwenzenu.. nashauri kitu kama hii asogezewe huyo aliyeogeshwa tindikali, babake harufu yake tu.. mzuka unapanda.. atapona na kusahau kama aliwahi mwagiwa ile kitu nafanya betrii ya gari ichemke..
Big up Tanzania FOOD
 
hapa bado hujaeleweka yaani TITLE na CONTENT ni irrelevant kabisa kama huna source basi mwaga data zako kwa kina mkuu
 
Diwani Nanyaro nakubaliana na wewe,
Msimamo wako ulionesha katika sakata la madiwani wa Arusha ulinifurahisha sana naomba unipigie kwa namba zangu kwenye signature yangu.
Mikael P.
Ebu acha kutumia JF, kama kitengo cha CDM, sasa unamwambia akupigie mtumie airtime wewe ndio si una shida nae.
Kwani huwa hamkutani kwenye maandamano yenu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom