Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Zipigwe tu,tujue mbabe ni nani.mambo ya ushndi wa mezani sio mtamu.pingamizi zote zipigwe chni na match ianze mara moja.
 

Kama CUF wangekuwa makini kule Shimoni Mombasa walienda kuchukua nini? wadanganye wajinga siyo humu jf. nakujua wewe msomi lakini inaonyesha unatumia akili za mkopo pole sana. endelea kujipotezea credibility yako in politics. you will soon treated accordingly believe me. Achana na hao CUF mkuu wangu watakupoteza. sasa hivi wanakutumia kwa ajili ya ukristo wako, but for sure, you will no longer exist in that position
 
hahaha..........natamani dk kafumu aenguliwe!!!!!!!
 
kwa mujibu wa tbc 1 pingamizi zote zimetupiliwa mbali na wagombea wote 8 wametangazwa kuwa ni wagombea halali


ana bahati huyo kafumu......ila hashindi...cdm wako juu na lazima wachukue jimbo
 
kwa mujibu wa tbc 1 pingamizi zote zimetupiliwa mbali na wagombea wote 8 wametangazwa kuwa ni wagombea halali

Hata kama kulikuwa na mapingamizi ya ukweli, sikutegemea kama mgombea wa ccm angeenguliwa.

Nadhani kazi imebaki moja tu, kufanya kampeni za uhakika lakini kubwa kuliko yote ni kulinda kura, hapo ndo magamba wanafanyia mambo.
 
Mgombea wa CDM Igunga nasikia alishawahi kufungwa jela miaka mitatu kwa wizi
ndugu ritz nashauri tafuta kaz za kufanya haiwezekani kila siku usiku na mchana uko tu kwenye hii forum au umeajiriwa na nape?
 
Mbona Masha alikuwa mwizi naye akapewa uwaziri?
 
Mpaka ilipofika saa 10. Leo jioni ni wagombea wa vyama viwili tu ndio walio wekewa pingamizi walizowekewa na chama cha wanainchi CUF, taarifa tulizozipata kutoka katika vyanzo vya huko Igunga. kuhusu ni pingamizi zinahusu nini nitaendelea kuwajuza
<br />
<br />
pingamizi zote zimetupiliwa mbali na msimamizi wa uchaguzi. CUF(CCM-B) wana akili kama ya mnyama fulani aliyesababisha mods kumfungia mpambanaji wetu Daudi Mchambuzi.
 
P&#305;ngam&#305;z&#305; z&#305;metupwa mbali
 

Hee!!
Jamaa linawashutumu mafisadi kwa rushwa kubwa kubwa, huku nae akizitoa?
Nape acha hizo.
.
 
@Mijadala ya namna hii humu ndani JF haitakwisha, ukweli unaweza kuwa wazi lakini ukapindishwa kwa makusudi. Ombi langu wote mlioko Igunga, mnapotupa habari, jaribuni kutupa na video pictures kwenye Utube. Kisha sisi mwenyewe tutapima upi ukweli na upi uongo...kuepusha propaganda, kwani baadhi ya vyama vimejiandaa vya kutosha kufanya propaganda humu JF (Hasa chama cha mapinduzi). @Kuhusu CUF kuingilia msafara wa Chadema, according to Mwananchi newspaper la leo, mgombea wa CUF amekiri wafuasi wake kufanya hilo na kusema hizo zilikuwa ni mbwembwe tu za kawaida za uchaguzi!! Now Mtatiro is speaking something different. mmh Hapo kutakuwa kuna tatizo tu...
 
Ukitaka kumjua mtu tenga muda usome post zake za zamani.
 
Mgungamiba, bila shaka machungu unayo kuhusiana na dhuluma ya aina yoyote wezi wanavyopanga kufanya. Hata hivyo, nakushauri utayari wako juu ya kinachotokea Igunga katika jamvi hili uwepo pia kwa viongozi waandamizi chama yaani CDM. Kwamba, uwe na ushirikiano katika kujaribu kutegua mitego ya sisimu uliyoisema kwenye "post" yako kuhusiana na zoezi lililoanza leo kule Igunga (uchaguzi mdogo). Tusiishie kusoma tu ya Wikileaks pekee wakati hata sisi wananchi tunazo taarifa za kinyama ambapo, tukiziweka wazi hatimaye tutapunguza manyanyaso yaendeshwayo na mabepari/wakoloni wa leo. Angalizo: ukiishia kusema uliyoyasema hapa na usiwe tayari kuwasaidia wananchi wenzako wa Igunga kumpata mbunge wao mahiri, basi yote uliyoyasema yatabaki kuwa uzushi tu.
 

Hapo kwenye red watakuwa:
1. Mwita25
2. Ritz
3. Ngongo
4. Mzee wa Mawe
5. Faiza Fox
6. Mlengo wa kati
7. Ibwe
8. John Marwa
9. Malaria Sugu
10. Mgungamwiba
 
Ningekuwa sina akili ningepata GPA ya 4.0?

Nasikia hiyo ni ya kuungaunga kama nini....mara leo kwa prof x kesho kwa Mr Y unadhani hatujui? Sasa ulikuwa unaenda kufanya nini wewe mnafiki? Maana kila siku ulikuwa unafanya kazi ya kuonga walimu wakutoe...lile somo ulilokamatwa na prof.....unadhani hatujui ulichomoaje?
 
Wakuu,,Mwita na wengineo wa mlengo wake wanachofanya ktk kila thread ni kutupia vitu kuwatoa great thinkers kudadavua na kuchangia thread mama badala yake wanaanza kumshambulia yeye jambo ambalo anafanikiwa sana. Nadhani wanajamvi tuwe tuna m ignore na kuendelea kujikita katika mada/thread husika
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…