Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
...From body indexes point of view, yes, he might have just done that!! :hail:
 
amewahi kusoma mazingira ana siku nyingi hajaenda ndo maana alikuwa anashangaa kukuta barabara ya lami.vile vile amewahi akapewe umbea.mia
 
Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
<br /> <br / Umejihakikishia wizi Mwita? That is very disappointing man, mi sina chama lakini kama mwananchi na kijana you are talking nonsense guy.
 
Wamefanya makusudi ili kuwagawanya watu! Walijua akiingia igunga siku ya uzinduzi wa campaign za CDM watu watakimbilia kumwona rais mstaafu lakini hawajafanikiwa maana nyomi la CDM ni nouma!
 
<br />
<br />
namkubali mbowe kwa kupanga maneno yenye mantiki
 
<br />
<br />
Yaani picha za mwaka jana ndiyo unazijaza hapa?

Hebu muulize hivi mkapa;,atajisifiaje na barabara za lami hizi zilizopo wakati kwenye kilomita 84000 za barabara zote nchini wameweka lami 1% tu? Kuna chakujisifia hapo kama imechukua miaka 50 ya uhuru kujenga 1% ya barabara kwa lami?
 
wewe unaishi? hujawahi kusikia Dr wa ukweli akiongelea kuhusu nyumba za tembe na namna ya kuwasaidia wananchi kupata nyumba bora, hujawahi kusikia akiongea barabara, na si barabara tu hata reli tena kwa treni ziendazo kasi, lakini shule ameongelea sana kuboresha elimu.

Naona magamba huwa mnapata palpitations na priapism mkimsikia Dr anaongea kiasi kwamba huwa hamkumbuki kaongea nini, pole yenu.
 
Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
utembee uchi mara ngapi ? kuipenda ccm pekeyake ni sawa na kutembea UCHI MBELE YA WATOTO WAKO AMA WAKWE ZAKO.
hakuna timamu aweza kutembea uchi,. kwa wazo lako la kutembea uchi ni kielelezo kuwa wenye akili hawapo ccm.
Kuipenda ccm ni kujidhalilisha, kujidharau na kujisaliti.
Waelevu wote walitoka kitambo, mmebaki watu wenye akili za Kina Tambwe Hiza , Makamba na Kingunge....! Chama cha watu dhaifu kufikiri.
 
Duh watakuwa wamegombea posho nini maana hawa jamaa kwa hela hawawezekaniki.
 
Hiyo kauli mbiu ni ya kimipasho zaidi. Chadema tunataka kauli mbiu ya kimapinduzi na kimaendeleo! Mipasho tumwachie yule baba ya taarabu.
 
Kwa hiyo mkuu haujaona typos kwenye post yako kama LAT alivyojitahidi kukuonesha? Basi kweli wewe utakuwa ni kilaza ....
Na wewe ujaona tatizo la LATIFA kila anavyoandika anaanza na herufi ndogo au kwa sababu Magwanda mwenzako? Kweli akili yako Masaburi matupu
 
Hata kwenye kampeni za mwaka jana watu walijaza sana mikutano yenu lakini kilichofuata ni aibu kwenye matokeo. Kama wingi wa watu ndiyo ushindi, basi hongereni sana. Lakini ninachojua mimi watanzania wengi huwa wanafuata na wanachagua sera
  1. hizo sera za ccm ni mgao wa umeme na kukodi jenereta za mafuta mazito za kufua umeme, huku serikali inauwezo wakuzinunua kulikoni?
  2. sera nzuri za ccm kutoa bei ya pamba angalizi , baadaye kurudi kinyumenyume kuibadilisha kwa masilahi ya wanunuzi uchwara huku hao wanunuzi wakufaidi stimulus package ya reccesion , hizo ndo sera nzuri?
  3. si muda mwafaka kulaghai watanzania kwa sera zisizo na manufaa , nakuwaacha wanateseka
 
Ili wasichakachue JF reporter wawepo pale kuanzia malori y ao yapigwa picha na yatoke ktk vyombo vya habari; hii sasa ni lala salama wanajf tuamke hili la malori sasa liwe wazi; kupumbazwa tumechoka; wasiwasi wangu asije kujikuta anajihubiria mwenyewe
 
aisee hyo ni noma sana alafu waje watuambie eti ccm wanachao igunga labda waibe kura kwa njia za maajabu lakini tofauti na hilo awana chao pale
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Hebu tukumbushane kidogo baadhi ya ufisadi alio ufanya
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Duh yaani tukianza kuelezea ufisadi wa mkapa tutamaliza muda,naomba tuongelee Igunga kwanza alafu kwanini tunaficha ukweli au nikupunguza makali mnasema ufisadi badala ya WIZI nitatizo ata rushwa mkaibatiza TAKRIMA,duh misamiati ovu hiyo hao ni WEZI tu and by 2015 wote watakua jera under CDM.
 
Kafumu-(kaganga ka kienyeji),ndio maana ya jina la huyo jamaa!
 
Kuchakachua itakuwa ngumu awamu hii. upepo mbaya sana kwa magamba!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…