Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
mbona mtu unaweza kulala mjini asubuhi kazini kama kawa?chadema ipo juu sana.wanaweza hata kuwa wanakuja kulala dar asubuhi mapema wapo igunga.mbona choppa zimepaki hazina kazi?hiyo haiumizi kichwa.sema ni aibu yao cuf na ccm.unavyomchoko nyati ndivyo hasira zinapanda.ole watajuta kuifahamu cdm.mia
 
kwa kuangalia upepo ccm kwa igunga hali ni tete hata kama wamtumie mzeee ben bado ni maji ya shingo, wanahitaj kujipanga kisawasawa hao jamaa tumewachoka na porojo zao!Igunga watatoka kapa kama ukapa walio upereka hukoooooooooooooooo
 
Mkutano wa ccm leo unaweza kweli kujaza watu.lkn nina hakika si watu wanaokuja voluntarily bali baada ya kupewa bakshishi na wengine kusombwa.unajua kilichokuwa kinafanyika jana ile hamasisha haikuwa ya hivihivi. so umati kuwa mkubwa leo c kikwazo cha kuelekea mabadiliko
 
Gazeti la mwananchi limeeleza kwa kirefu leo kuhusu maandalizi makubwa yaliyofanywa na ccm jana kuhusu kufanikisha uzinduzi wa mgombea wao leo.Waandishi wa gazeti hilo wameenda mbali zaidi na kutabiri mkutano wa ccm leo utavunja rekodi ya mikutano yote kuwahi kufanywa ktk uwanja wa sokoine.Kama vile haitoshi waandishi wa gazeti pendwa la mwananchi pia wamerudia taarifa ya mapokezi ya mkapa juzi ambapo wamesema alilakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa.Source habari kuu Mwananchi leo.

ni siasa tu hizo, yetu macho na masikio yetu jioni
 
ccm mtavunja rekodi zote lakini siyo rekodi ya list of shame.mia

una maana hawataweza kutaja list of shame au hawataweza kuongeza wengine ndani ya chama/mfumo wao? tungo yako seems to be somehow tata
 
  • mkuu hujaeleweka lengo lako unataka nini aidha kile unachotaka kifanyike waambie viongozi wa chama chako wafanye
  • kampeni Igunga ndiyo zinaanza bado vyama vingi havija zindua kampeni zake
  • it is unfair to compare Tanzania with USA
  • NIKUOMBE uwe mvumilivu utabaini nini ahadi za wagombea kwa wa Igunga baadaye ndipo utoe kero/wasiwasi wako
 
ni kweli gazeti hilo limeandika hivyo. sasa unatakaje??
kuandikwa hivyo na gazeti ndo faraja yenu ninyi ccm, wengine faraja yetu ni kuona tunaungwa mkono live live na watu maelf na sio kwa kupika propaganda.
kama ni hivi mbon hukuandika habari ya gazeti la mtanzania daima kua chadema imeiumbua ccm igunga??
ua just a walking dead body, you are waiting for your fall.
hiki kizazi hatuwataki na hamtaweza kutulazimisha tuwatake.

kweli halima mdee aliwambia ni kizazi cha DIGITAL
 
tunamatatizo makubwa sana kwenye mifumo ya vyombo vyetu vya habari. Chadema wangekuwa makini yale maandamano yangeendana na kuchangisha fedha kwa ajili ya uanzishaji wa vyombo vya habari.

wazo lako ni mbadala kabisa kwa ajili ya kujiimarisha na kujitanua. Mpaka sasa hawana media yoyote lakini pamoja na kukosa, bado wanapata airtime kwenye magezeti yenye heshima kubwa ndani ya nchi yetu
 
what goes around comes around.mwanahalis wameshatueleza na ile nakala ya dokezo wanayo.sasa ni dhahir shahil na waz kwamba kwa wiki tatu zijazo wapenz wa magazet machache makin itatulazim tuwe na subira turudi kule tulikotoka then baada ya 2 oct tutaanza kurud mstalini. Pole watz.

kifupi ni kwamba wengi hatujakuelewa. Jf inakupa uhuru wa kusema kile unachokiamini bila woga wala kificho. Ndo maana mwana jf mmoja kakuita sharubalo kama nilivyosikia askari wa mwanza wakimuita kamanda wao
 
JF pekee ndio ninayoiamini kwa sasa vyombo vingine sivihitaji kabisa,na hiyo rekodi inavunjwaje kwa maneno tu?na je wanauhakika gani kama watavunja rekodi?me sitaki kusikia maneno ya kusadikika nataka nione picha tafadhari.
 
magazeti ambayo CCM imepanga kuyatumia ktk mradi huo ni;
  1. Mwananchi
  2. Nipashe
  3. Jambo leo
  4. Mtanzania
  5. Majira
  6. Habari leo
kwa upande wa vituo vya TV Walengwa ni waandishi na wahariri wa;
  1. ITV
  2. TBC[SUB]1[/SUB]
  3. Channel ten
pia malozi zaidi ya 5000 wametengewa Tsh. 50,000 kila mmoja

source Mwanahalisi sep 7 - 13, 2011 pg 6
 
hayawi hayawi sasa yamekuwa

Ccm leo siku ya tarehe 10/sep/2011 inategemea kuzinduwa kampani ya chama chao juu ya uchaguzi wa ubunge kwa kiti kilichoachwa na RA

Inasemekana Mzee Mkapa ndiye atakaye unguruma na kuamsha hisia za wana igunga

vipi kuhusu vyama vingine yaani CDM na CUF?

Kuna msiba leo, hizo shamrashamra za nini? huyo atakaehutubia atajilazimisha kusahau meli iliyozama? au huko igunga hakuna redio?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Igunga nzima nyumba ni hiyo moja tu? Mbona hii hoja legelege sana.
Kama mtakosa kabisa nyumba itabidi mlale kwenye zile Fuso zenu. CDM bana si mnasema mnakubalika sana Igunga vipi tena hamna nyumba
 
Mkutano wa ccm leo unaweza kweli kujaza watu.lkn nina hakika si watu wanaokuja voluntarily bali baada ya kupewa bakshishi na wengine kusombwa.unajua kilichokuwa kinafanyika jana ile hamasisha haikuwa ya hivihivi. so umati kuwa mkubwa leo c kikwazo cha kuelekea mabadiliko

Kama kawaida ma CCM yatawasomba watu na yes nakubliana nawe kwamba walikuwa wanajednga hoja na wafaanmye justification baada ya hapo .Walioko Igunga pigeni picha tuone ukweli wa namna watu wanavyo ingia huko mkutanoni .Wamesema hakuna barabara friendly ila nyingi ni korofi sasa CCM wanaenda kuwaeleza nini wana igunga ?
Wacha tungoje kuona kampeni kushika kasi hapo kitaeleweka
.
 
Chama cha demokrasia ya maandamano mbona mnapepeta mdomo sana kama mabinti wa saloon! Mda wa kazi huu sio maneno tena,kutabiri mambo kwa kutumia makalio ni ujinga!
<br />
<br />
Hivi unalipwa shillingi ngapi? Na unaweza zuiya upepo
 
Yaani hapa naona malori makubwa yanaleta watu toka sehemu mbalimbali, kuja kuhudhuria kampeni zao CCM wananchi hapa Igunga wanamsemo wao sasa usemao.&#8206;"UJINGA NI KURUDIA KOSA PINDI UNAPOPEWA NAFASI YA KUJISAHIHISHA"(Kauli ya wazee na vijana+mama kutoka IGUNGA.
CDM wanaweza kushinda iwapo CCM aka mafisadi wasipochakachua
 
Leo taifa limepatwa na msiba mkubwa sana. Tuungane kwa pamoja kuliombea taifa letu na wote waliopoteza uhai wao.

Hivi kwa nini haya matukio ya kuzama kwa vyombo vya baharini yanaisumbua sana nchi yetu. Hivi kama taifa serikali wamejipanga vipi kwa hili?

Halafu nimepata taarifa kuwa mwenye dhamana ya usafirishaji na uchukuzi ni waziri kutoka chama cha wananchi CUF. Vipi na yeye pia watampigia kelele ajiuzulu kama wanavyopigiwa wengi wao yakitokea majanga kama haya?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom