figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
mbona mtu unaweza kulala mjini asubuhi kazini kama kawa?chadema ipo juu sana.wanaweza hata kuwa wanakuja kulala dar asubuhi mapema wapo igunga.mbona choppa zimepaki hazina kazi?hiyo haiumizi kichwa.sema ni aibu yao cuf na ccm.unavyomchoko nyati ndivyo hasira zinapanda.ole watajuta kuifahamu cdm.mia