udini huu...ngoja tuone utatufikisha wapi, kama vp waombe nyumba za wakristo, kwani wakristo hawana nyumba huko igunga??
sidhani kama ni udini nafikiri ni umbumbu zaidi wa siasa za vyama vingi na ccm imekuwa ikitumia mwanya huo kuwatisha wahusika ili wasishirikiane na upinzani kwa kuwatisha kufunga biashara zao au kuwatisha kuwadai kodi zao za miaka yote ambazo wamekuwa hawalipi na vitu kama hivyo.
kwa watu tunaofuatilia vizuri mfumo wa vyama vingi ulivyoanza Tanzania ni kwamba vitu hivi havikuanza leo kwani huko miaka ya nyuma wagombea wa urais wa vyama vya upinzani walipokuwa safarini mikoani walinyimwa hadi mafuta kwenye baadhi ya vituo kwa sababu ya wahusika
kutishwa au kwa humbumbu wao kisiasa. ktk issue hii ya nyumba inaonekana wazi kuwa ni vitisho kwani kama walikuwa hawawataki chadema wangeshakataa pesa toka mwanzo lakini kupokea pesa na baadaye ghafla kuzikataa hiyo inaonhyesha wazi kuwa ni mchezo mchafu wa CCM.