Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu hawa, Ze komedi wanaitizama kwenye kwenye tv kutokana na tatizo la umeme yawezekana kitambo hawajafuatilia hiyo show wameambiwa watakuwa live kwanini wasi-attend na ccm wanajua bila kuleta wasanii watajikuta wako wenyewe uwanjani.
 
..Inahitajika kwanza kuujua uzuri wa vyama vingine ndipo watakapoweza kuuchukia kwa vitendo ubaya wa CCM, fahamu kuwa wengi wenye mashaka na uwezo na umakini wa vyama pinzani wata-opt kuendelea na Zimwi Walijualo, CCM,...

Yaaaaaaaaaaah man watanzania wanataka kujua tofauti iko wapi?wakiiona ndio watapata mwamko wa kuitaji kuhama chama na kuchagua chama cha upinzani.Mkuu pamoja
 
Kwa jinsi nyie wanyamwezi mlivyo majinga anayo haki ya kuwafananisha na mkewe kwa vile mkewe anamuomba hela ya matumizi kila siku na nyie mnamuomba hela, Tshirt, kofia na skafu na pia vuvuzela za njano. Wanyamwezi kwa CCM ni kama Samaki na maji, mtaozea kwenye nyumba zenu za tembe ambazo hamzijengei vyoo, mnaenda kukata gogo shambani.
Nimeandika hivi ingawa itaonekana offensive to you, lakini lile bango mliloliweka la kibaguzi kuhisisha vurugu na mikoa ambayo ina maendeleo makubwa hapa nchini wakati nyie hamjamudu hata kuchota maji bombani, mnategemea punda kuchotea maji huku mkisifia CCM kuwa ndio baba na ndio mama yenu. Haitatokea nyie mkoa mzima wa tabora mkaoga huku mmesimama, haitatokea kuacha nyumba zenu za tembe kama mtaendelea kukumbatia ndoa yenu na CCM. Mchagueni Dr Kafumu ili awafumue kama mkewe... tehe
 
yaaaaaaaaaaah man watanzania wanataka kujua tofauti iko wapi?wakiiona ndio watapata mwamko wa kuitaji kuhama chama na kuchagua chama cha upinzani.mkuu pamoja

watajuaje wakati elimu yenyewe ya kuwakomboa wamenyimwa? Midahalo ya kuwakomboa wamenyimwa, maandamano yanayofufua ufahamu wao yamepigwa stop. Watapataje kuzifahamu tofauti hizo?
 

Sijui wamekiweka wapi kitufe cha thanks! You've said it all sir...
 

well reseached, well analysed. God job brother, nimeipenda presantion yako.
 
Pata matoke ya leo kutoka mitandao mbali mbali.
 

Em,
Jf is not good for your health. This is the place where people dare to talk openly. Tegemea sana kuwa disapointed, tena hapo hata hujatukanwa.
Ni ushauri tu...
 
Inanisikitisha sana kuwaona vijana ambao tunatakiwa kilikomboa taifa letu kutoka mikononi mwa mafisadi wamevaa minguo ya kijani wanaipigia ccm kampen, tubadilike jamani msifikiri kuna mtu mwingine wakuja tofauti na sisi wenyewe especialy vijana.
 
Kuwa CCM ufurahie maisha!!


wewe unatafutia watu ban tuu kwa kutumia masaburi kwenye vitu muhimu vya kitaifa, nenda hi 5 au facebook maana akili yako na hilibichwa lako sihitaji ushahidi mwingine mazafaka
 
mwita25 ndo atampenda kama mkewe anavyompenda au wameanza mchezo wa kuingiliana kwenye masaburi hawa magamba kwa kauli hiyo sisi watu wa PWANI wallah tungemchalaza bakora m§€n¿€ yule
<br />
<br />
Naunga mkono hoja kwa asimia mia moja.
 
Hao walifata comedy na sio ccm @steve hizi pics zisikuzengue, waliambiwa atakaerudisha kadi ya cdm analamba wekundu watano na RA wakati kuipata kadi cdm buku unadhani waliorudisha ni mafala..? wanajua wanachokipata, alafu mbona umechagua pics za kuweka ungeweka na zile za watoto wa shule waliobakia baada ya comedy kuisha..? kama wewe sio gamba na za cdm ziko wapi hapo..?


Sad to say, but idadi ya mbumbumbu Tanzania haitopungua...!!! :sad:
 

Changamoto je, mtaweza kuwashawishi mambumbumbu kukichagua chama chenu?!
Get smart daugg...
 
Hivi mpaka sasa bado hamjamfungulia kesi?
Au unatania!Haiwezekani mpo na watoto na wake zenu halafu mtukanwe hivyo kisha mkae kimya.
NAOMBA MUONGOZO.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…