Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko kwenye uzinduzi wa ccm.anaongelea uzuri wa sera za ccm,anamsifu sana kikwete,mchango wa tz kukomboa nchi nyingine.anapiga propaganda.eti kwa nn wanaongelea shirika la reli na ndege tu? Anasifu udom.amesema wamesema sikujenga barabara.amekwepa kusema wamesema nimefanya biashara ikulu au eti najua kagoda.amempiga dongo dr.slaa.kwa kweli ni fyongo tupu.masanja alipomaliza,umati wa watu umeondoka.anafikia hata kuuma maneno na kuönyesha kusahau point.ccm imeshindwa kwa viwango vyote kuifikia chadema kwa analysis ya mkutano wa uzinduzi.
asante kwa taarifa mkuu, vipi mahudhurio ya watu hapo? ikiwezekana tuwekee picha. maana tunaambiwa wengi ni watoto wa shule za msingi ndio wamejazana hapo.
<br />jamaa maji yamewafika shingoni,,hivi lazima wapeleke wakina masanja??tangu lini masanja akawa mwanasiasa??hawawezi kupiga kavukavu kama cdm?
<br />Niko kwenye uzinduzi wa ccm.anaongelea uzuri wa sera za ccm,anamsifu sana kikwete,mchango wa tz kukomboa nchi nyingine.anapiga propaganda.eti kwa nn wanaongelea shirika la reli na ndege tu? Anasifu udom.amesema wamesema sikujenga barabara.amekwepa kusema wamesema nimefanya biashara ikulu au eti najua kagoda.amempiga dongo dr.slaa.kwa kweli ni fyongo tupu.masanja alipomaliza,umati wa watu umeondoka.anafikia hata kuuma maneno na kuönyesha kusahau point.ccm imeshindwa kwa viwango vyote kuifikia chadema kwa analysis ya mkutano wa uzinduzi.
Unamuiga bosi wako? Mkapa kiherere chake cha kwenda kumsaidia mshikaji wake walocheza wote dili za madini kitamtokea puaniUnapata faida gani kuleta habari ya uongo? Shame On You!
<br />
<br />
Unapata faida gani kuleta habari ya uongo? Shame On You!