Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
yanapofanyika haya si siasa tena jamani ni UHALIFU! Chukua nafasi ya yule kijana au shuhudia alivyo sasa,kama una roho ya Mungu japo kidogo,machozi yatakutoka!
 
CCM inafaidi umaskini na ujinga wa watanzania. wanadanganywa kwa pilau ya siku moja, wanaharibu maisha yao yote? Je hii pilau siyo rushwa?

Na hapo ndipo penye kazi pevu, kuwaelimisha hao ili waondokane na ujinga.
CDM ina kazi, bila mikakati ya kweli hizo pilau tutazishuhudia miaka nenda rudi na watu hao hao ndiyo wapiga kura wataipigia CCM huku CDM tukiendelea kulalamika.
 
tupaze sauti kama watanzania wote waliohusika sheria ifate mkondo bila kujali vyeo vyao.huu ni uhalifu na mhalifu tusimtizame kwa uccm au ucdm wake bali wote tumuangalie kama mhalifu tu.
 
Teh teh teh! Ant Matola, bana ujui nini hapo bana nilijua lazima utabold, maana ya hiyo ni Ingia halafu hiyo ingine Masaburi mpaka watu wote wajue? Umenipata sasa
Kama unatafuta bwana sema tukupe site za magay wenzako, hapa JF ni hoja kwa hoja na sio vihoja, this is too low to me, don't follow me i will blast your ass m.o.t.h.e.r F.u.c.k.e.r.
 
Masikini nape jali ubinadamu kwanza kuliko madaraka kama kweli ulihusika kutoa pesa 150,000/= kwa unyama huu utalipwa hapahapa...............

321642_265761296778624_100000342668655_939079_1865404671_n.jpg

I hate politics and Politicians. Nguvu yote ya nini kama wanaogombea wanajua kujieleza, waacheni wajieleze kwa wapiga kura halafu wapigiwe kura.
 
Wangeruhusu tuu wakazi wa Igunga wapige kura; hata hivyo hizi haziwakilishi mawazo ya Wanaigunga kwani wenye access na computer ni watu tofauti kabisa na maskini wa kule Igunga

Pamoja na hivyo, kwani Mpanda, Maswa, Kigoma kuna Mtandao na Computer? au ni swala la watu kuchoka na utawala mbovu wa CCM na maisha kuwa magumu kwa sababu ya ufisadi.
 
Humu ndani kumejaa ushabiki tu wa CCM na CHADEMA. Naona kama Jenerali Ulimwengu alivyosema ule msimu wa watu kuweka akili zao kando umewadia na sasa umeingia mpaka JF kwa great thinkers.
 
Kama unatafuta bwana sema tukupe site za magay wenzako, hapa JF ni hoja kwa hoja na sio vihoja, this is too low to me, don't follow me i will blast your ass <b>m.o.t.h.e.r F.u.c.k.e.r.
Unaona sasa umekasirika mpaka akili imehama unahamaki bure mpaka unatukana, unanipa unyonge sana ndugu yangu. Lakini nimekusamehe najua ni hasira tu, ngoja nikuombee kwa Mods! Msimpige BAN ni hasira tu hizo
 
ni vigumu kuamini, leo nilikuwa igunga ki ukweli watu wanakiri wazi kuwa ccm kushinda labda kwa mbinu chafu tu ila wamebanwa haswa, wanatumia mbinu nyingi sana chafu kuichafua chadema lakini hawawezi.

Mtu mmoja akaniambia walikuwa wamepanga kuchoma moto jengo lao wenyewe la ccm ili wauaminishe uma kuwa ni mahasim wao , ila naona chadema wana intelenjesia kali wakabaini huo mchezo mapema kabla haujatekelezwa. hayo siyo maneno yangu ni yajamaa tena walikuwa wananizibia pancha gari. Ni mengi mno wameniambia ukiachia shoo ya bure waliyopelekewa ya akina joti walipomaliza tu watu wakaondoka zao, mkapa hakuamini.

ukitaka kujua uhalisia wa mambo Igunga pata info ambazo hazijachakachuliwa kutoka hukohuko or kwa watu ambao sio biased. Yaani Magamba are capable of anything niko so worried wajameni.
Hakuna utawala wowote hapa duniani ulishinda nguvu ya umma,umma ukiamua kuwang'oa,CCM bado hawaamini kwamba wananchi wamekipa kisogo chama chao,bado wapo wengine wachache wanaodhani CCM ndio mkombozi wao lakini wengi walishang,amua janja ya nyani
CCM watafanya kila hila Igunga Lakini kama wana Igunga wameamua kupata mabadiliko ukweli ni kwamba wanatwanga maji kwenu
CCM itauwa,itawatia wananhi vilema lakini ukweli utasimama umma utashinda
CCm watahangaika usiku na mchana kubuni mbuni za kijambazi,kimafia na uuaji lakini mwisho wa siku wao ndio wanaumbuka
Leo CCM kwa miezi saba mfululizo kwa kupitia vuvuzela lao NAPE walikuwa wanasema magamba lazima yang'oke kwa kuwataja majina Rostam,Chenge Lowassa,walikuwa wakimsimamisha Rostam kweli ,hivi wanadhani wana Igunga ni matahira kama m.ak.al.io yao ,
WOTE TUSEME CCM BYE BYE
 
Kikwete aliwahi kusema CCM wanachukiana hadi kufikia kutishiana kuwekeana Sumu katika maji, mwanaccm mmoja hawezi kumuachia maji ya kunywa mwenzie (nani anakumbuka Hotuba hii)
nini kinashndikana kumwagiana Tindikali ? mbona ccm ilihusika na kifo cha Kolimba, Imran Kombe, watashindwa kuendelea na siasa zao mfu miaka na miaka ?
labda mkawadanganye wale mnaowalisha pilau
attachment.php
 
Msimshambulie sana, jamaa alikuwa anataka kupost hiyo kitu mmu. bahati mbaya imeingia huku
 
CCM wana mbinu za kishenzi mbinu za zamani za kiRussia,East Germany,Romania za kuuwa watu na kuwajeruhi ili kupandikiza chuki,aibu kwao tangu walivyooanza kutaja chama kimoja tuu kati ya vinane kila mtu alijua propaganda za kihuni za CCM zimeanza ,lakini hatushangai Mwenyekiti wao Dr. Mh.Jakaya Mrisho KIkwete mpokea Suti toka kwa mwanaume mwenzie alisema mwaka jana kuna watu wanataka kuingia ikulu kwa kupana maiti za watu akiwa kama mwenyekiti wa chama mfu atuambie kwa nini hili limetokea
321642_265761296778624_100000342668655_939079_1865404671_n.jpg
 
Uzuri uliopo ni kwamba CDM tunaongea kwa mifano na kuongoza kwa matendo mfano tu..pale ubungo,singida mashariki,arusha,ilemela,n.k huko kote matendo ndo yanayoongea ya nini CDM inawafanyia wapiga kura wake
 
Unamuuliza nani wewe si ndio mwanachama kawapatie ushauri kwenye vikao vya ndani
 
Humu ndani kumejaa ushabiki tu wa CCM na CHADEMA. Naona kama Jenerali Ulimwengu alivyosema ule msimu wa watu kuweka akili zao kando umewadia na sasa umeingia mpaka JF kwa great thinkers.
<br />
<br />
Heri mimi sijasema
 
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.

Kuna tatizo naliona miongoni mwa "vijana" wa siasa kuamini kwamba CCM haiungwi mkono kabisa kabisa na watanzania, jambo ambalo si la kweli. Hittler na siasa zake za Kinazi huko Ujerumani aliteketezwa, lakini leo hii zaidi ya miaka hamsini tangu kuvunjiliwa mbali kwa utawala wa Kinazi bado wapo watu tena wengine ni vijana kabisa ambao wanaamini kwenye misingi ya Kinazi yaani ubaguzi wa rangi na ubaguzi wa asili ya mtu.

CHADEMA sasa ndicho chama kinachokua na kuimarika kila siku. Lakini kukua na kuimarika huko hakumaanishi kwamba ndiyo CCM imekufa kabisa na hakuna Watz wanaoiunga mkono CCM. KANU,UNIP kutaja vichache si vyama tawala tena kwneye nchi zao lakini huwezi kusema kwamba vyama hivi vimekufa au hakuna watu wanaoviunga mkono.

Hoja hii naitoa kuwatahadharisha CHADEMA wenzangu kwamba ndani ya siasa kuna walevi wa ushabiki ambao kwa kawaida wao huwa hawamo uwanjani,lakini wanapiga sana kelele. Kwa kuanzia na Igunga ni lazima tupambane na CCM kama chama "imara" na wala si kama chama "mfu" kama baadhi ya washabiki wetu wanavyotaka tuamini.

Igunga na kwenye kata 22 tunazogombea kuna kazi za kufanya na ni lazima tuifanye.Play your Part!!.

Kukasirika na kubwatuka hakutakusaidia ndugu yangu. Its Just a Joke my friend!!

Those are the words of a mature and a really great thinker! Thanks for the good words of wisdom and keep it up!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom