Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 856
- 395
gazeti la mwananch wanajfanya anatoa habar za kchunguz kumbe n za kipuuz...yan upeo wao ulpoishia n kuwa bla kutoa habar za kzushi za ccm hawauz,,thc z stupid!inafka ha2a had anawaulza amewakosea nn?hatuwez kufka kwa styl hi na mabogus km nyie mnaamin na kuleta upuuz wenu hapa...polen washkwa mackio(mafuac wa chadema)
Unajitahidi kuandika, ila hujatulia, tumia maneno kwa usahihi na sio maneno ya watoto wa shule wakati unajiita GT! Kwa kukurupuka kwako unaandika Mwananchi wakati mtoa uzi kasema Mwanahalisi. [Keep your bias and open prejudice low, and may be you can be considered a GT]