kilam
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,092
- 2,128
mkuu,hizo redio bora hata zingekuwa za dini,ni redio zinazotangaza kwa lugha za kabila husika katika eneo husika.
Haina shida, hata redio za dini zinatangazia watu wa dini yake tu. Sioni kama kuna ubaya mtu akipata matangazo ya redio au runinga kwa lugha yake.