Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
wakenya udenda unawatoka.tv studio kama hii hakuna kenya.
sio kenya tu east and central hakuna😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
sio kenya tu east and central hakuna😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hata kwenye vitendea kazi,azam TV inaongoza kwa kuwa na modern facilities kushinda TV zote east and central Africa.
78eafb24a8e644a1736f76dd86f5ed6d.jpg
281f287ae29dd775fd311238c3e54e96.jpg
9cd96a452c36ca23efac28841aa9ac29.jpg
76ccb897c68220808658ce83dff5693a.jpg
f90194821b3b4a7a62f3d388759340e6.jpg
de813a0433e235a112e7586733abfd05.jpg
8d1b24843b87bac62bdc06cf8d4b86fb.jpg
f1ab47573793eeb8e4e79fe734c9a608.jpg
 
azam tv hatari sana.
MK254 huko kenya kuna TV station au media house yenye modern broadcasting facilities kama azam tv?.

bila shaka hamna maana kwa jinsi wakenya msivyopenda kuzidiwa kimaendeleo na watz,msingekubari hizo picha zipite hivi hivi bila kujibiwa.

mnakodoa tu mimacho kodo na kuhepa kimya kimya.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
azam tv hatari sana.
MK254 huko kenya kuna TV station au media house yenye modern broadcasting facilities kama azam tv?.

bila shaka hamna maana kwa jinsi wakenya msivyopenda kuzidiwa kimaendeleo na watz,msingekubari hizo picha zipite hivi hivi bila kujibiwa.

mnakodoa tu mimacho kodo na kuhepa kimya kimya.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

wacha tarudi baadae
ukirudi rudi na jibu la swali langu hapo juu.

ila mkae mkijua,kwa TV za kenya kuifikia azam TV in terms of modern broadcasting facilities in today's world, inabidi m-combine viTV station vyote vya kenya ikiwemo citizen TV,ntv,k24 na ktn.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

NB:halafu kuna wakati ilibaki kidogo tu azam tv wapate haki ya kurusha matangazo ya ligi kuu ya mpira kenya.

isingekuwa fitna za wakenya kwa kushirikiana na supersport, leo hii azam TV ndio ingekuwa official broadcaster wa league "yenyu" kuu ya mpira.

ligi kuu ya Uganda na Rwanda azam tv ndio baba yao.
shenzytype.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ukirudi rudi na jibu la swali langu hapo juu.

ila mkae mkijua,kwa TV za kenya kuifikia azam TV in terms of modern broadcasting facilities in today's world, inabidi m-combine viTV station vyote vya kenya ikiwemo citizen TV,ntv,k24 na ktn.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

NB:halafu kuna wakati ilibaki kidogo tu azam tv wapate haki ya kurusha matangazo ya ligi kuu ya mpira kenya.

isingekuwa fitna za wakenya kwa kushirikiana na supersport, leo hii azam TV ndio ingekuwa official broadcaster wa league "yenyu" kuu ya mpira.

ligi juu ya Uganda na Rwanda azam tv ndio baba yao.
shenzytype.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kenya kuna facilities kama hizo kaka. Na ligi ya Kenya inabroadcastiwa na BAMBA TV I guess
 
Kenya kuna facilities kama hizo kaka. Na ligi ya Kenya inabroadcastiwa na BAMBA TV I guess
weka picha hapa,"wacha maneno mingi".
weka picha za ob van,ob truck na ob bus za hizo TV za kenya.
 
Back
Top Bottom