Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

mkuu,hizo redio bora hata zingekuwa za dini,ni redio zinazotangaza kwa lugha za kabila husika katika eneo husika.

Haina shida, hata redio za dini zinatangazia watu wa dini yake tu. Sioni kama kuna ubaya mtu akipata matangazo ya redio au runinga kwa lugha yake.
 
Haina shida, hata redio za dini zinatangazia watu wa dini yake tu. Sioni kama kuna ubaya mtu akipata matangazo ya redio au runinga kwa lugha yake.
basi sawa
 
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
wewe huna lolote,jibu nililokupa pale juu limekuacha na aibu maana hukutegemea.

hiyo ndio shida ya kukurupuka kuweka comment bila kufanya uchunguzi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Askari Kanzu kafufuka ...maajabu haya!
kumbe tunapo amua kujiweka kando kwa mda fulani na jf,hususani kenya forums,huwa mnatumiss?.

tukiwaambia kuwa kenya forum bila sisi watz kuichangamsha huwa "inabore", huwa mnabisha.
 
kumbe tunapo amua kujiweka kando kwa mda fulani na jf,hususani kenya forums,huwa mnatumiss?.

tukiwaambia kuwa kenya forum bila sisi watz kuichangamsha huwa "inabore", huwa mnabisha.

Humu JF kuna wanachama wa jadi,tokea enzi zile,mmojawepo huyu Askari Kanzu,zama zile kabla wewe kadoda11 hujahamia Kenya kiharamu...😀😀!
Zama zile ulipokua kule uswahilini ukiwaogopa wakenya na kuwapa heshima stahiki.
Leo hii unaishi Kenya tena kwa kujificha kiharamu kabisa ,umepata jeuri na uelewa mdogo wa lugha ya malkia basi kila kukicha ni kufungua kibakuli chako hicho kwa mambo ya hovyo ilmradi uonekane nawe upo upo...ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata!

Alamsiki!
 
hayo sasa masimango mkuu.

si ni nyinyi mmekuwa mnawasema watz kuwa hawapo exposed na maisha ya nje ya tz?.

leo hii mtz anapotoka nje ya mipaka yake kupata experience ya maisha nchi nyingine,inakuwa shida kwa mkenya.
 
Haina shida, hata redio za dini zinatangazia watu wa dini yake tu. Sioni kama kuna ubaya mtu akipata matangazo ya redio au runinga kwa lugha yake.
kadoda11 na hawa watz wengine wanafaa kujua nqa kuelewa maana ya ukabila. Station inporusha matangazo yake kwa lugha fulani ya kiasili, hilo si ukabila. Ukabila ni pale kuna chuki baina ya makabila. Kama hizo vituo vya habari vinaeneza chuki, basi huo ndio ukabila, lakini kama hazifanyi hivyo (and by the way, baada ya 2007, ziko very monitored), shida iko wapi?
 
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]

wewe huna lolote,jibu nililokupa pale juu limekuacha na aibu maana hukutegemea.

hiyo ndio shida ya kukurupuka kuweka comment bila kufanya uchunguzi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Whaaat! Aibu gani? Ati unasema nimekurupuka kuweka comment na ni wewe umefungua thread kucelebrate ati journalists wenyu wamepostiwa humu.......what are u talking abbout?

Ati jibu limeniacha na aibu........tchaa!
 
Binafsi namkumbali zaidi Hassan M Hassan wa TBC hua anatia nanga Kenya sana sana Nairobi tangu uchaguzi wa 2007 na wa 2013, natumaini na huu wa 2017 atatia nanga na kutuhabarisha yatayokua yanajiri huko...jamaa ana kipaji
 
Sio kweli kwamba ndio wanaanza kutoka babu,TBC walikuwepo uchaguzi wa 2007 na pia 2013 walikuwepo, nadhani na huu pia watakuwepo kutujuza kinachojiri huko..
 
Mkuu Startimes utapata hizi habari kupitia ITV na TBC japo wao watakwenda mwezi wa nane kwenye uchaguzi na sio kwenye huu mchujo wa vyama kupata wagombea kama walivyowai Azam
 
Sio kweli kwamba ndio wanaanza kutoka babu,TBC walikuwepo uchaguzi wa 2007 na pia 2013 walikuwepo, nadhani na huu pia watakuwepo kutujuza kinachojiri huko..

Babu mnajitekenya wenyewe maana mumeleta uzi wa kusheherekea kwamba mumefaulu kuwafikisha wana habari Kenya, halafu wenyewe mnahangaika kutuambia hao sio wa kwanza.
 
Ouch, how is this an accomplishment? Kumbe kutuma wanahabari Loliondo ilikuwa ushindi?
 
Babu mnajitekenya wenyewe maana mumeleta uzi wa kusheherekea kwamba mumefaulu kuwafikisha wana habari Kenya, halafu wenyewe mnahangaika kutuambia hao sio wa kwanza.
Ni kweli sio wa kwanza, ITV na TBC hua wanakuwepo nakumbuka vyema 2007 na 2013,.kwa Azam tv ndio mara ya kwanza kuleta watangazaji kwa ajili ya uchaguzi...
 

Whaaat! Aibu gani? Ati unasema nimekurupuka kuweka comment na ni wewe umefungua thread kucelebrate ati journalists wenyu wamepostiwa humu.......what are u talking abbout?

Ati jibu limeniacha na aibu........tchaa!

Babu mnajitekenya wenyewe maana mumeleta uzi wa kusheherekea kwamba mumefaulu kuwafikisha wana habari Kenya, halafu wenyewe mnahangaika kutuambia hao sio wa kwanza.

Ouch, how is this an accomplishment? Kumbe kutuma wanahabari Loliondo ilikuwa ushindi?
wakenya mnanichekesha sana.
tangu juzi nilipo anzisha thread hii,mlikuja kwa pupa kudai kwamba ni thread isiyo na hadhi ya kuwekwa hapa.

ajabu ni kwamba mnarudi kila mara ku- comment na kufanya thread yangu izidi ku- trend na hatimaye kuniongezea viewers. asanteni sana kwa bidii "yenyu".
 

Mbona huja quote Watanzania ambao pia wanakushangaa humu. Halafu angalia kwa makini mimi nawajibu wanaoni quote.
 
Mbona huja quote Watanzania ambao pia wanakushangaa humu. Halafu angalia kwa makini mimi nawajibu wanaoni quote.
chunguza vizuri,watz unaodai "wananishangaa", niliwajibu vizuri na wameelewa ndio maana huoni wakiendelea kushangaa.

kwanini hii thread inawafanya mtoe povu namna hii?.

au mnahofia journalist wetu watafanya mahojiano na wakaazi wa slums?.[emoji23] [emoji23]
 
Funny guy this kadoda11! Ati u did this for "trends" sake realy? Knowing u, you surely wldnt do that at the expense of your country's honour.
Anyway...I guess akina Geza and Annael would realy want to kick your teeth in for this...ha ha!

Goodmorning!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…