Hahaha nasoma tu nacheka yangu yote.. That guy huwa ilitrate kimpangoFunny guy this kadoda11! Ati u did this for "trends" sake realy? Knowing u, you surely wldnt do that at the expense of your country's honour.
Anyway...I guess akina Geza and Annael would realy want to kick your teeth in for this...ha ha!
Goodmorning!
wewe nilishakunyosha kwenye hii comment yangu hapa chini.sidhani kama utapata tena ujasiri wa kuhoji ulichohoji mwanzo.Whaaat! Aibu gani? Ati unasema nimekurupuka kuweka comment na ni wewe umefungua thread kucelebrate ati journalists wenyu wamepostiwa humu.......what are u talking abbout?
Ati jibu limeniacha na aibu........tchaa!
pole sana buda kwa kuwa na mawazo duni.hiyo ndio shida ya kukurupuka kukomenti bila kufanya uchunguzi.shame on you.[emoji23] [emoji23]
last year during the US election,azam tv, sent its best news anchor;Charles Hilary (former BBC swahili new anchor) to cover the US election.
he had different live interviews with east africans living in US.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
karibu sana,naona mnashindwa kujizuia Ku comment hapa.Hahaha nasoma tu nacheka yangu yote.. That guy huwa ilitrate kimpango
chunguza vizuri,watz unaodai "wananishangaa", niliwajibu vizuri na wameelewa ndio maana huoni wakiendelea kushangaa.
kwanini hii thread inawafanya mtoe povu namna hii?.
au mnahofia journalist wetu watafanya mahojiano na wakaazi wa slums?.[emoji23] [emoji23]
niliwaambia mimi azam tv imetawala east africa hawataki kuaminiππππππππππkaribu sana,naona mnashindwa kujizuia Ku comment hapa.
i have just talked with a friend of mine who is also among of the azam tv crew that's visiting nairobi.
he told me that the authority has given them the permission to conduct interview to people living in slums.
hapa kazi tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Annael ichoboy01 Geza Ulole
Hahahaha!! Naomba iwe live Azam TV.karibu sana,naona mnashindwa kujizuia Ku comment hapa.
i have just talked with a friend of mine who is also among of the azam tv crew that's visiting nairobi.
he told me that the authority has given them the permission to conduct interview to people living in slums.
hapa kazi tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Annael ichoboy01 Geza Ulole
povu mnatoa na ushahidi mdogo wa povu "lenyu" ni hiyo comment yako.Wakenya hawatokwi na povu, labda mmoja mmoja, wengi wanashangaa ujuha wenu wa kusheherekea kumtuma mwanahabari Kenya. Japo kuna Watanzania kama Radics wamekuja na kuweka sawa na kutoa hiyo aibu. Anyway kwaheri...
unacheka au ndo unaumia chini kwa chiniπππππππππππHahaha nasoma tu nacheka yangu yote.. That guy huwa ilitrate kimpango
safari hii tunataka kuonesha poverty ambayo kenya ipo, below poverty line is 46%povu mnatoa na ushahidi mdogo wa povu "lenyu" ni hiyo comment yako.
hofu "yenyu" kubwa mlio nayo ni kuhusu maisha halisi ya wakazi wa slums yasihojiwe na journalist wa tz.
safari hii hatuaachi kitu,tutahoji maisha yao,tutapiga picha makazi na mwisho wa siku tutatengeneza makala maalum ambayo itaruka ktk media zetu za tz.
hapa kazi tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sio radio tu mpaka kanisa mkikuyu ana lake na mjaluo lakeπππππππππIvi huo ukabila kenya upoje
Tanzania naweza kwenda Mbeya nikakaa miaka wala siulizwi kabila langu
nilishangaa siku moja MOTOCHINI anasema
Kenya kila Kabila lina Redio yake
hii nikweli?
wanaishi lakini kwa tahadhari kubwa sanaππππππππππUpo ukabila, ila hakuna mtu atakukataza kuishi mahali popote utakapo. Kwa sasa hakuna mji, jiji ama kijiji ambacho hakina kabila zote, enda garissa utapata mkikuyu, mjaluo, mluhya, mkisii, Msomali, Borana kila mtu!!
tanzania imefanya juhudi kubwa sana kuhusu lugha ya kiswahili na ndio mpaka leo inatambulika duniani na afrika kwa ujumlaAisee, mimi hufurahia sana Kiswahili cha Wabongo hasa wakisoma taarifa ya Habari, matamshi hayana mbwembwe nyingi, sio lazima waseme taarifa za habari kwa Kiingereza, Kiswahili tosha hivyo. Unajua Kiswahili kama lugha yetu ya Africa Mashariki, Tanzania ichukue jukumu la kuendesha maswala ya lugha, kama ni hiyo Azam ichangamke, wanahabari hao wasafiri hadi nchi kama Marekani watuletee habari kwa Kiswahili.
Kenya Kiswahili kidogo, si chao, wanahabari Wakenya huenda hadi Urusi kutangaza habari, ila ni za kizungu bado.
Azam wafanye bidii kwa hili, Kisha, wafanye bidii kwa muonekana wa picha na sauti ya studio ilainishwe, hapo basi hata mimi ntazikiza Azam, kwa tamaa ya kujua Kiswahili zaidi.
hii ni nini?Hahaha nasoma tu nacheka yangu yote.. That guy huwa ilitrate kimpango
zingine hizo naongezea sio mchezohakuna TV station yenye picha ang'aavu na studio bora EA kama azam TV.