Kenya 2022 Uchaguzi Kenya: Masanduku 9 kati ya 15 ya Kura zilizoagizwa kuhesabiwa upya hayana hitilafu

Kenya 2022 Uchaguzi Kenya: Masanduku 9 kati ya 15 ya Kura zilizoagizwa kuhesabiwa upya hayana hitilafu

Kenya 2022 General Election
Mnapata faida gani kutoa habari za uongo?,matokeo ya mabox yaliyohesabiwa kama kuna kasoro zitatolewa na majaji sio vinginevyo acheni kibimba habari.
Ripoti ya mahakama ndo inasema hivyo, sio sisi... Ripoti hio ndo inasema hawakupata tofauti walipohesabu kura upya... ripoti hio ndo itatumika na majaji... kama unataka kuisoma mwenyewe niambie nitaipost hapa... Roundi hii kila kitu ni live! Kesi yote iko kwa tovuti ya mahakama ukitaka kusoma petition, submission, affidavits...etc zote unaweza ziona na kujisomea..
 

Hii ilishadukuliwa na kuonyeshwa kua side shows.. hawa lawyers wa Raila wamekula pesa ya bure tu... Afadhali wale lawyers wengine wanaojiwakilisha wenyewe kama kina okiya omutata ambao walijaribu kukosoa hesabu ili kuonyesha Ruto hakupata zaidi ya 50% angalau hao wanaeza shinda kesi lakini hawa wa Raila kila ushahidi waliotoa baadae ilionyeshwa kua uongo mtupu.
 
Hii ilishadukuliwa na kuonyeshwa kua side shows.. hawa lawyers wa Raila wamekula pesa ya bure tu... Afadhali wale lawyers wengine wanaojiwakilisha wenyewe kama kina okiya omutata ambao walijaribu kukosoa hesabu ili kuonyesha Ruto hakupata zaidi ya 50% angalau hao wanaeza shinda kesi lakini hawa wa Raila kila ushahidi waliotoa baadae ilionyeshwa kua uongo mtupu.
Wanashinda kwa minajili hipi?
 
-the threshold is enshrined in Article 138 (4) of the Kenyan Constitution which dictates that "A candidate shall be declared elected as President if the candidate receives– (a) more than half of all the votes cast in the election," reads part of subsection 4.
-spoiled ballots, as they are called here, will count in the overall vote total , ie cast vote must include spoiled ballots

Factoring in spoiled ballots did any of presidential candidate score the threshold 50% +1 vote?
 
-the threshold is enshrined in Article 138 (4) of the Kenyan Constitution which dictates that "A candidate shall be declared elected as President if the candidate receives– (a) more than half of all the votes cast in the election," reads part of subsection 4.
-spoiled ballots, as they are called here, will count in the overall vote total , ie cast vote must include spoiled ballots

Factoring in spoiled ballots did any of presidential candidate score the threshold 50% +1 vote?
How many spoilt ballots were there? I dont think there were that many
 
How many spoilt ballots were there? I dont think there were that many
Past election ,number was upward of 300,000 -
Nearly 330,000 ballots “” the number keeps rising “” have been rejected for not following election rules, raising criticism of voter education efforts.
 
Back
Top Bottom