Uchaguzi KKKT: Askofu Malasusa achaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa KKKT kuchukua nafasi ya Dkt. Fredrick Shoo

Askofu Malasusa ametokea wapi tena? Mbona ulitajiwa wagombea ni hawa tu?

1) Askofu Dkt. Benson Bagonza (Karagwe)2) Askofu Dkt. Abednego Kesho (Bukoba)3) Askofu Dkt. Blaston Gavile (Iringa)4) Askofu Dkt. Msafiri Mbilu (Tanga)
Uliowataja wana Misimamo Mikali kama ya TEC ( Wakatoliki ) hivyo System imefanya UMAFIA ili arudishwe / achukue huyu Malasusa ambaye ni Mtu wa Kujipendekeza kwa Watawala na mwepesi wa Kulambishwa Asali na Kutumika nao Kadri watakavyo kwa Maslahi yao.
 
Kanisa Katoliki hufuata biblia, historia na mapokeo. Hakuna uchaguzi wa maaskofu wala mapadre wala mashemasi. Maaskofu huteuliwa na Papa. Na wala hawana kipindi maalum cha kuhudumu.
Nyumba za wakatoliki zimejaa masanamu ukutani...

Wengine wanatembea nazo shingoni kama kengele.

Kanisani ndio kabisaaa, sanamu mbele juu pale ya madhabahu.

Unakuta wamepiga magoti wanaomba sanamu iwasaidie.
 
Nyumba za wakatoliki zimejaa masanamu ukutani...

Wengine wanatembea nazo shingoni kama kengele.

Kanisani ndio kabisaaa, sanamu mbele juu pale ya madhabahu.

Unakuta wamepiga magoti wanaomba sanamu iwasaidie.
Sijui utasaidiwa na nani wewe uliyekosa maarifa. Maombi pekee siamini kama yataweza kukunusuru.


Kanisa Katoliki hufuata biblia, historia na mapokeo. Hakuna uchaguzi wa maaskofu wala mapadre wala mashemasi. Maaskofu huteuliwa na Papa. Na wala hawana kipindi maalum cha kuhudumu.

Did the apostles appoint bishops?

In this context, Clement explicitly states that the apostles appointed bishops as successors and directed that these bishops should in turn appoint their own successors; given this, such leaders of the Church were not to be removed without cause and not in this way.

Who appointed the first bishop?

SO, Who was the First Bishop of Rome? According to the second-century Irenaeus, it was a man named Linus, who was appointed to the office by Peter and Paul (Against Heresies 3, 3, 3).

How do priests become bishops?

According to the Church's law, a bishop must be β€œoutstanding in solid faith, good morals, piety, zeal for souls, wisdom, prudence and human virtues.” In addition, he should be of good reputation, at least 35 years old, ordained a priest at least five years earlier and in possession of a doctorate or licentiate
 
Uaskofu ni kichaka kibaya sana cha wizi na uzinzi. Kwa makanisa yote hata katoliki. On TEC wamepewa hela na waumini wao wezi KINA KARAMAWOTA na hawara yake DAWAIJUKA kama zile za Rugemalila wanaropoka hovyo. Hatushangai wang'anga'anie madaraka. Ndio maana maovu yanazidi ingawa maaskofu ni wengi na wanaongezeka kila siku.
 
Nyumba za wakatoliki zimejaa masanamu ukutani...

Wengine wanatembea nazo shingoni kama kengele.

Kanisani ndio kabisaaa, sanamu mbele juu pale ya madhabahu.

Unakuta wamepiga magoti wanaomba sanamu iwasaidie.
Lakin pia sanamu ni kitu chochote ulichokiweka mbele kuliko Mungu Chief. Kama umeweka hela wazazi au hata famili au kaz ni za kwanza kuliko Mungu hizo zote ni sanamu. Gods first na ana wivu balaa.
 
Naona askofu wa kanisa langu kapata tena nafasi kwa mara ya pili....kama alizaliwa 1961 maana yake wakati anapata kijiti mara ya kwnza mnamo 2007 alikuwa na miaka 46 alipata uongozi mzito akiwa bwana mdogo sana.....

Now ana miaka 62 bado umri ulikuwa unamruhusu kwakweli tena naamin sahivi atakuwa bora saana maana atakuwa amekomaa sana kiakili na kimwili.

Ingawaje kiafrika afrika lazima tumuone ana tamaa maana kama alishatumikia hiyo nafsi angewaachia akili mpyaa ziingie tuwapime ..... kwani njia za kumtumikia Mungu mbona zipo nyingi...kitendo cha kutamani kurudi tena pale means ile nafasi ina asali(tamu)

Naomba anayejua utaratibu wa mtu kuwa askofu wa dayosisi atuwekeee

KKKT kanisa langu ila wanazingua sana wanajali sana utaratibu wao uende ila sio kuwajenga vijana wa kanisa la kesho...kwa kifupi nimewatema
 
Double standard ya Askofu Shooo kutokuonyesha msimamo wa KKKT (mbele ya Rais SSH) kuhusu suala la serikali na mkataba mbovu DPW uenda kumechangia kuenguliwa kwake! Ongela Askofu mkuu mteule Malasusa! Wana KKKT tunataka uonyeshe msimamo wako kny KKKT kama wakatoliki walivyoonyesha waziwazi kuunga mkomo wananchi kukataa bandari zao kuuzwa!
 
Chuma kingine hicho kutoka Rungwe-Mbeya Kwa kina Mwambukusi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unao uhakika wa ulichokiandika? Usichanganye dini na siasa.
Hebu tafsiri "Ongela" kwa kiswahili.
Ushauri wangu kwako, ONDOA POST YAKO YA KIZUSHI.
 
Ongera! Safi saana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…