Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Labda kuna kitu alikuwa hajakimalizia katika ile miaka yake ya awamu ya kwanza. Hivyo amerudi kwa lengo hilo.Hivi KKKT hawana Maaskofu wengine wanaoweza kuwa Wakuu wa Kanisa maana huyu alikuwa Mkuu wa Kanisa kabla ya Askofu Dkt. Shoo