Uchaguzi KKKT: Askofu Malasusa achaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa KKKT kuchukua nafasi ya Dkt. Fredrick Shoo

Hi hbr siyo nzuri Sana kwa mchungaji eliona kimaro siyo nzuri kabsa
 
poor analysis. Bagonza anapingana na udhalimu, wizi, dhambi ya wanasiasa. Huyu mwingine anaunga mkno dhuluma za ccm... vitu viwili tofauti kabisa.
na wewe hutaki udhulumiwe, Am I right?
 
poor analysis. Bagonza anapingana na udhalimu, wizi, dhambi ya wanasiasa. Huyu mwingine anaunga mkno dhuluma za ccm... vitu viwili tofauti kabisa.
na wewe hutaki udhulumiwe, Am I right?
still hao wote ni maaskofu wa KKKT
 
poor analysis. Bagonza anapingana na udhalimu, wizi, dhambi ya wanasiasa. Huyu mwingine anaunga mkno dhuluma za ccm... vitu viwili tofauti kabisa.
na wewe hutaki udhulumiwe, Am I right?
Yako ndo very poor analysis maana at the end comparison yao ni kuwa wote ni wanasiasa wenye mlengo tofauti unaoshahibiana na baadhi ya vyama vya kisiasa.
 
Malasusa hana jipya na hatakuwa na jipya zaidi ya kuendeleza abrakadabra za kisiasa ndani ya KKKT. Bora wangemchagua Keshomshahara ambaye hajulikani sana mrengo wake wa kisiasa kama ni mhafidhina au mliberali
Huyo keshomshahara nae ni puppet wa Bagonza na ndo maana hashindi, since 2015 anagombea na hashindi. It's time aseme imetosha.
 
Kanisa hili la KKKT huko juu kuanzia level za uchungaji wa kanisa kubwa, mpaka uaskofu mkuu ni mwendo wa kupiga pesa tu.
Mungu nisamehe
Ndio maana Rushwa na uchawi vinatawala.. Hawako ktk kutafuta Roho zilizopotea... Wapo kupiga hela na kulinda mapato yasio halali ili vizazi navyo vifaidi dhambi zao😭😭
 
Unaweza kuta rushwa zinatumika kwenye kuchagua wa Askofu. Hapo ndio naonaga bora nipige bia tu.
 
Huko kote sijasoma, nimesoma jina tu keshomshahara ni mhaya aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…