Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Upigaji kura umeanza kusuasua kwa mujibu wa chanel 10.anasema asubuhi watu walikuwa wengi vijana na kina mama.katembelea vituo kama sita vyote havijafikisha hata nusu ya idadi yawaliojiandikisha.
 
Upigaji kura umeanza kusuasua kwa mujibu wa chanel 10.anasema asubuhi watu walikuwa wengi vijana na kina mama.katembelea vituo kama sita vyote havijafikisha hata nusu ya idadi yawaliojiandikisha.

maisha magumu. Wameenda kutafuta chakula cha mchana. Watarudi baada ya kula chakula cha mchana.
 
john heche kasema akiongea na mlimani tv kwamba,mawakala wa chadema wanazuiliwa kuingia kwenye vituo vya kusimamia kisa si wenyeji wa sehemu husika.wanaowazui ni watendaji.mtangazaji wa channel10 anareport kwamba kituo cha ujenzi ambacho kipo karibu na ofisi za msimamizi mkuu wa uchaguzi vifaa havitoshi na vingine vimeisha.mia
huyo nae si mibangi tu
 
CDM wamemkamata mpiga kura mmoja akitumia kadi ya marehemu. Anahojiwa.

Hongera sana Mkuu zibeni kila kona kwa kweli tunawaombea sana tunahitaji huo ushindi uende kwa Chadema, Ehee Mwenyezi Mungu tuokoe kutoka katika mikono ya mafirauni hawa wanajiita CCM.
 
Wakina mama mbona tulikuwa hatuwaoni kwenye mikutano ya Kampeni? au ndio Dalili mbaya kwa Upinzani?

kuna baadhi ya sehemu hasa mijini wakina mama walikuwa ni wengi sana.tbc na chanel 10 wameonesha na kvangaza hilo na kunasehemu vijana wamefunika na kunamsurulu mrefu pia kuna vituo kwa sasa havina watu au wapo wachache sana.so it depends on which area and at what time dude.
 
Hongera sana Mkuu zibeni kila kona kwa kweli tunawaombea sana tunahitaji huo ushindi uende kwa Chadema, Ehee Mwenyezi Mungu tuokoe kutoka katika mikono ya mafirauni hawa wanajiita CCM.
We si BAKWATA walikukataza kushabikia CDM?
 
Chanel 10 wanasema kunakesi ipo polisi kulingana na tukio lililotokea jana usiku saa 1 wakati mbunge aesh alipovamiwa akiwa anafanya mkutano wa wajumbe wa nyumba kumi eli anawahutubia but wavamizi wanaodaiwa kuwa wafuasi wa cdm walimkamata na kusema alikuwa anagawa rushwa so kesi ipo polisi.pamoja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom