Na kwaminia kamanda wabaneni...je wale jamaa wanao jiita sijui TAKUKURU bado wamelala...Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu
Safi sana ila mengi zaidi yatajulikana leo.Hongera zenu, intelijesia iendelee na kazi.Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu
Clouds fm ni nini hiyo??? neno geni maskioni mwangu.Clouds fm live watatoa updates muda si mrefu. Mida ya saa nane hivi.tutajua mbichi na mbivu.
Hivi hii sio rekodi??There are currently 1030 users browsing this thread. (252 members and 778 guests)
Uchaguzi wa Igunga kuna vituko kuna raia moja kaona picha yake ya kwenye kitambulisho chake imechakaa kaamua kubandika picha yake mpya ya rangi duu!!
Ahahahahaaah!!! Yataka moyo mkuu, jikaze...alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration
alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration
Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu
Redio ya wafu haitofautiani sana Uhuru FM....Clouds fm ni nini hiyo??? neno geni maskioni mwangu.
Updates kutoka kwa Wa Jikoni:
- Hali ni tulivu.
- Watu wamejitokeza kupiga kura asubuhi hii, wengi wakiwa ni kina mama.
- Watu wanahakiki majina yao.
- Hakuna malalamiko, so far
Dah!! Mkuu una jicho..
Kumbe rangi za kijani za Wanamtandao na CJJ zinatoutiana!