Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
vyote vinaanza na c
UPDP?? au kimeondolewa kwenye kinyang'anyiro..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyote vinaanza na c
Clemmy, shukuru unaishi jirani na mimi meneja Ugavi Tanesco! La si hivyo ungekuwa unalia na wewe!
Wapo kanda ya ziwa na wapo kanda ya ccm!Star tv wanasema wazee na akina mama ndio wamejitokeza kwa wingi kulingana na takwimu zao.
CCM imefanya mambo ya kihuni sana kwenye kata zote ambako kulikuwa na kampeni zinaendelea hasa la kuteka watu na kuwa piga na kuwaumiza vibaya sana cha ajabu analiona kukamatwa aliekuwa anabaka demokrasia lakini anasahau matukia ya watu kutekwa na kupatanda majukwaani na silaha, Kumwagiana tindikali wenyewe kwa wenyewe, kuchoma kuchomeana nyumba......Mlezi wa vyama vya siasa Mh. Tendwa, hajakerwa na wanasiasa (Mbunge Aden Rage) "kupanda na silaha jukwaani" wakati wa kampeini (maana hakutaja kama hilo lilimkera) bali amekerwa na tukio la Mkuu wa wilaya kufanyiwa fujo, kijana kumwagiwa tindikali, na tukio la kurushiana risasi.
Ameyasema haya wakati akihojiwa na Mtangazaji wa TBC1 kuhusu ni mambo gani yalimkera katika uchaguzi mdogo wa Igunga
source: TBC1 saa saba mchana leo.
Kama umepanic mpaka unajichanganya flani ivi.Huyo mama atakuwa kachanganyikiwa tu. Haiwezekani mtu mzima kama yule aipende CCM. Atakuwa amepewa hela na magwanda ili aichafue CCM
usiombe waukate kuanzia saa 12 jioni.....Hahaha,yawezekana mkuu.
Ila naogopa kusema ni wapi isije kuwa wamesahau.
Me mgao nausikia kwa watu tu saivi kwamba ni mkali.
I hope hauja geuka kuwa week nne nne,nisije kuwa nafurahia kumbe
kuna giza kuu linakuja
Sasa hivi ni saa nane ngoma bado sana lakini cha kushangaza umechanganyikiwa...Pole sana mkuu nidiyo tatizo la kutetea mzoga kuwa haunuki ili hali wewe unaujua ukweli.......CCM ni mzoga unanuka lakini mnajaribu kuupulizia pafyumu...............Huyo mama atakuwa kachanganyikiwa tu. Haiwezekani mtu mzima kama yule aipende CCM. Atakuwa amepewa hela na magwanda ili aichafue CCM
Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu
Duh! unaweza kusema photoshop?