2014: Freeman Aikael Mbowe na Ester Matiku walichukua fomu.
Matokeo: Mbowe kura 789, Matiku kura 20.
2019: Freeman Aikael Mbowe na Cecil Mwambe walichukua fomu.
Matokeo: Mbowe kura 886, Mwambe kura 56.
2024: Sio tetesi tena Makamu Mweyekiti Mh. Tundu Lissu atawania kiti hicho tuendelee kutega sikio. Good strategy in Branding the Party.
Hii ndio demokrasia ndani ya Chadema, huwezi kuona harakati kama hizi ama tetesi tu za M/mkiti wa CCM (Mpango) kuandaa press conference kama inavyofanyika ndani ya Chadema.
Nawaalika wanaCCM watuambie,
Samia aligombea na nani,
Magufuli aligombea na nani,
Kikwete aligombea na nani,
Mkapa aligombea na nani,
Mwinyi aligombea na nani na, Nyerere aligombea na nani.
Matokeo: Mbowe kura 789, Matiku kura 20.
2019: Freeman Aikael Mbowe na Cecil Mwambe walichukua fomu.
Matokeo: Mbowe kura 886, Mwambe kura 56.
2024: Sio tetesi tena Makamu Mweyekiti Mh. Tundu Lissu atawania kiti hicho tuendelee kutega sikio. Good strategy in Branding the Party.
Hii ndio demokrasia ndani ya Chadema, huwezi kuona harakati kama hizi ama tetesi tu za M/mkiti wa CCM (Mpango) kuandaa press conference kama inavyofanyika ndani ya Chadema.
Nawaalika wanaCCM watuambie,
Samia aligombea na nani,
Magufuli aligombea na nani,
Kikwete aligombea na nani,
Mkapa aligombea na nani,
Mwinyi aligombea na nani na, Nyerere aligombea na nani.