Kuna nyakati zikifika, hata mwamba (pasitarajiwa kutoka maji), yatatoka maji ya kunywa na kunywesha mimea na wanyama..
Maana yake ni kuwa, umeshafika wakati wa kilichoshindikana nyakati zile, kitawezekana sasa na kesho..
Huamini?
Subiri utaona kwa macho na kusikia kwa masikio yako...!!