Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Furaha yangu ni Katiba mpya iliyo zuri kwa taifa na watu wake kwa asilimia kubwa, ccm kukaa pembeni.

Kwenye msiba wa Lowasa unakumbuka nukuu za Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Hayati Lowasa alipotaka kuhamia upinzani?
 
Kwenye msiba wa Lowasa unakumbuka nukuu za Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Hayati Lowasa alipotaka kuhamia upinzani?
Hapana, sikumbuki tafadhali...

Unaweza tu kunikumbusha ili iwe faida kwa wengine pia ambao hawaelewi Anna Tibaijuka alisema nini na wale ambao hawakumbuki kama mimi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…