Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaWachawi na matapeli husimama madhabahuni na kutaka kuleta migogoro na uchonganishi!
Furaha yangu ni Katiba mpya iliyo zuri kwa taifa na watu wake kwa asilimia kubwa, ccm kukaa pembeni.Kuna nyakati zikifika, hata mwamba (pasitarajiwa kutoka maji), yatatoka maji ya kunywa na kunywesha mimea na wanyama..
Maana yake ni kuwa, umeshafika wakati wa kilichoshindikana nyakati zile, kitawezekana sasa na kesho..
Huamini?
Subiri utaona kwa macho na kusikia kwa masikio yako...!!
Hapana, sikumbuki tafadhali...Kwenye msiba wa Lowasa unakumbuka nukuu za Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Hayati Lowasa alipotaka kuhamia upinzani?