Mungu amesikia kilio cha watanzania!! viva Malinzi
Ndio sasa kura za wajumbe wa kanda na makamu zimemalizika,kura za urais zinaanza kuhesabiwa,Malinzi kaingia mwenyewe,Nyamlani kamuingiza mwakilishi na haonekani maeneo haya.
Mkuu ndio kwanza kura
zao zimeanza kuhesabiwa,bado tulia tumejitahidi kufanya kampeni za haki
na za kisayanzi lakini mijaa ya Nyamlani kwa kushirikiana nanTff
wametucheza rafu dakika za mwisho sana ukumnini,ilamsio mbaya sana jebu
ngojamtusikilizie.
kumbe bado tu???
Ngoma bado ni mbichi sana hii wakuu....Lolote laweza kutokea...
Msimbeze sana Nyamlani....
Ni makamu wa Tenga.....Tenga=Nyamlani=Osiah.......
Tenga na Osiah kamwe hawatakubali kitumbua chao kiingie mchanga, na walianza sarakasi tangu mchana lakini Mungu bado yupo na Malinzi......Na huu ndo wakati ambao #TeamMalinzi wanapaswa kuwa makini sana......Kosa moja magoli 10....
unanikumbusha hakimu mmoja wa mikoani huko aliibiwa baiskeli yake basi kila ikija kesi ya wizi wa baiskeli anatembeza mvua nyingi huku akisema ndo walewale
Ngoma bado ni mbichi sana hii wakuu....Lolote laweza kutokea...
Msimbeze sana Nyamlani....
Ni makamu wa Tenga.....Tenga=Nyamlani=Osiah.......
Tenga na Osiah kamwe hawatakubali kitumbua chao kiingie mchanga, na walianza sarakasi tangu mchana lakini Mungu bado yupo na Malinzi......Na huu ndo wakati ambao #TeamMalinzi wanapaswa kuwa makini sana......Kosa moja magoli 10....
naanza sasa na wahaya. Kna thread ilikwa hapa juzi na jana inaongelea kuwabagua hawa watu kwa kabila lao. Sasa huyu hajaingia hata offisini masikini tayari ana u nshomile. Hii ndio nini sasa.Congrats Malinzi, sasa unatakiwa tu kuacha u' nshomile" otherwise utalimudu soka la bongo kwa mabadiliko uliyotuahidi!!! Kila la heri!
Sijajua hawa jamaa
wanataka nini yani wametuondoa kabisa tuko ng'ambo ya pili,sijui
wanataka wamfanye nini Malimzi huko ndani?!eti tokeni hapa mkae kule
mbali kabisa!!!,mbona mwanzoni mlikuwa mnatumneleza?!