Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

ndo nimeamka nipate habari za uchaguzi. Hapa Isingiro wengi tunawpenda JMALINZI
 
Tunaomba serious updates wakuu.
Mkuu Amavubi lete updates bhana.
 
Last edited by a moderator:
Please update, nini kimejiri huko? Kumekuwa na blabla nyingi mtandaoni hadi Mh Zitto katoa salamu za pongezi kwa Malinzi kwenye ukuta wake FB! Vp nini kinaendelea huko?
 
Apo ujue ccm wameangukia pua chadema wameshinda kama matokeo yanacheleweshwa kutangazwa,. Sa chagua malinzi ni yupi na nyamlani ni yupi
 
Tangu saa mbili tuliambiwa Malinzi ameshinda,mtuambie kapata kura ngapi dhidi ya Nyamlani
 
Back
Top Bottom