matimbanyula
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 268
- 120
hongera malinzi, nikutakie mafanikio katika kukuza soka la tz.
Usivisahau vyama vya mikoa yote tanzania.
Tenga sijui kama alikuwa anatembea mikoani nakuangalia hivi vyama.
Kunamatatizo mengi mikoani yanayo husu mpira wa miguu.nakuomba uwe na utaratibu wa kwenda mikoani.
Usivisahau vyama vya mikoa yote tanzania.
Tenga sijui kama alikuwa anatembea mikoani nakuangalia hivi vyama.
Kunamatatizo mengi mikoani yanayo husu mpira wa miguu.nakuomba uwe na utaratibu wa kwenda mikoani.