Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
MPIRA WA TANZANIA Quishney,
watamkumbuka TENGA x100
mchakato mzima kweli wanashindwa kumtafuta mchezaji mwenye Uzoefu, akasaidiwa na Katibu Mkuu aliyesomea menejiment, Hii ipo sana kwa wenzetu ,Germany, Spain, Cameroun, Nigeria nk
Sasa mtu anatoka Mahakamani au kwenye Boxing na wala huko hakucheza leo mnamtwisha Mpira tena wa Vilabu vikubwa mashindano ya Afrika na Dunia,
Bora kushangilia Man U, Liverpool, Man City nk
Punguza povu dogo, hebu tukumbushe sisi mambumbumbu, Rais wa FIFA Sepp Blatter alichezaga timu gani ya UEFA?
Au ungetueleza Pele ni Rais wa shirikisho lipi la mpira? Au Wabrazil hamnazo?
Halafu utamu wenyewe Nyamlani hana hata ubavu wa kukimbilia mahakamani kwenda kupiga porojo kwa mahakimu wenzake ili apinge matokeo maana hii nyundo ya FIFA ya kukataza mambo ya mpira kwenfa mahakamani sasa watauona utamu wake kama walivyokuwa wanamtesa Michael Wambura.
Sikushangai kwa akili ukwaju kama zako siku ukipendekeza Rick Abdalah awe kocha wa Stars kwa umahili wa kupiga domo kwenye tv.
