Nilishaomba radhi siku nyingi kaka..Na nilijuta kwa nini nilimpigia kampeni..Hata yeye nilimwambia humu..
Nawaomba sana radhi wanamichezo wenzangu humu JF kwa kumpigia kampeni Jamal Emil Malinzi. Mnisamehe kwa hilo.
Wengi tulitarajia mabadiliko kutoka kwa Malinzi..Alikuja hunu kuomba kura na ushirikiano, tulimpigia debe sana humu baadae akapotea...
Nitakuwa msitari wa mbele kupiga kampeni kuhakikisha kwamba Malinzi na genge lake hawarudi.