Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

Teacher matokeo bado yanaweza kutolewa kwenyensaa 4 au 5 hivi usiku baada ya kuhesabiwa lakini sisi tutayapata mapema kabla ya kutangazwa na tutayaweka humu endelea kutulia tu hapa usichezecheze,ila Hali ni tete zile kura 85 alizokuwa nazo Malinzi hadi kwenye saa 7 mchana hivi zilianza kuyeyuka baada ya viburungutu kuingizwa ukumbini fedha ambazo zimadaiwa kutolewa na Tenga na wenzake ili kuhakikisha Nyamlani anashinda ili kuendelea kulinda maslahi yao.

Tenga nae mwizi tuu wala hiyo nafasi hakuitendea haki.
 
Naona kama malinzi yuko vizuri ila ngoja tuendele kusubiri mpaka saa 4 hivi
 
Huyo nyamalaini hafai amekuwa makamu mwenyekiti TFF muda wote amefanyanini?
Amekuwa akimsaidia Tenga kwa karibu katika kutekeleza majukumu yake.
Yeye na Tenga wamefanyakazi pamoja kama timu moja.
 
Teacher matokeo bado yanaweza kutolewa kwenyensaa 4 au 5 hivi usiku baada ya kuhesabiwa lakini sisi tutayapata mapema kabla ya kutangazwa na tutayaweka humu endelea kutulia tu hapa usichezecheze,ila Hali ni tete zile kura 85 alizokuwa nazo Malinzi hadi kwenye saa 7 mchana hivi zilianza kuyeyuka baada ya viburungutu kuingizwa ukumbini fedha ambazo zimadaiwa kutolewa na Tenga na wenzake ili kuhakikisha Nyamlani anashinda ili kuendelea kulinda maslahi yao.

Mkuu hivi Tenga anataka kuficha nini huko TFF?? Manake naona anatumia nguvu nyingi sana kuhakikisha hakimu mla rushwa Nyamlani anashinda.
 
Ngoma bado mbichi, tuvute subira.

1116559_1015935028_185444787_q.jpg
Maggid Mjengwa

Mie ni mmoja wa wahesabu kura...tumeanza kuhesabu...!
 
Mkuu hivi Tenga anataka kuficha nini huko TFF?? Manake naona anatumia nguvu nyingi sana kuhakikisha hakimu mla rushwa Nyamlani anashinda.
Kuna maslahi binafsi. TFF kwa sasa kuna mpunga mwingi, mtamu na msafi ile mbaya.

Tenga ni mjanja sana, anajua kula na vipofu, ni mzuri katika kuficha makucha yake.
Yeye na JK bado sijaona tofauti, bora wengine wachafuke lakini yeye abaki msafi.
Unakumbuka issue ya Kaijage?
 
kuna mjinga(mjumbe) mmoja umu kiherehe ntamtia makonde labda malinzi asishinde
 
[JFMP3]<object classid="clsid:d27cdb6e-ae6d-11cf-96b8-444553540000" codebase="http://fpdownload.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=8,0,0,0" width="400" height="45" id="player" align="middle"><param name="allowScriptAccess" value="sameDomain" /><param name="movie" value="http://www.eastafricantube.com/common/flash/music_player.swf" /><param name="menu" value="false" /><param name="quality" value="high" /><param name="bgcolor" value="#000000" /><param name="FlashVars" value="url=http://www.eastafricantube.com/files/d2183f3dad21de99.mp3&autoplay=1&songname=Soka la bongo - wagosi wa kaya" /><embed src="http://www.eastafricantube.com/common/flash/music_player.swf" menu="false" quality="high" bgcolor="#000000" width="400" height="45" name="player" align="middle" FlashVars="url=http://www.eastafricantube.com/files/d2183f3dad21de99.mp3&autoplay=1&songname=Soka la bongo - wagosi wa kaya" allowScriptAccess="sameDomain" type="application/x-shockwave-flash" pluginspage="http://www.macromedia.com/go/getflashplayer" /></object>[/JFMP3]

Soka la Bongo
 
Kuna maslahi binafsi. TFF kwa sasa kuna mpunga mwingi, mtamu na msafi ile mbaya.

Tenga ni mjanja sana, anajua kula na vipofu, ni mzuri katika kuficha makucha yake.
Yeye na JK bado sijaona tofauti, bora wengine wachafuke lakini yeye abaki msafi.
Unakumbuka issue ya Kaijage?

like! like! like! like! like! like! like! like!
 
Kama ikitokea leo Malinzi akashindwa basi nitakuwa mnyonge sana. Simkubali kabisa kabisa Nyamlani, he is a bad man to me and to the many people. Ni mlafi mkubwa sana.
Yeye na Tenga ni wafitini sana.

Itanikumbusha 2012, uchaguzi wa Arumeru-Mashariki siku ambayo CCM tulipoteza jimbo letu muhimu na Ngome kanda ya kaskazini. Sikutaka kuamini kabisa, na toka siku hiyo nilianza kuamini kuwa siku si nyingi huenda CCM tokaondolewa madarakani kabisa.
 
Back
Top Bottom