Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Kwa wasiofahamu, ni kwamba Nigeria inakwenda kufanya uchaguzi wake mkuu wa uraisi miezi mitatu ijayo.
Katika uchaguzi huo mkuu, mchuano mkali utakuwa kati ya vikongwe wawili wa nchi hiyo mh Bola Ahmed Tinubu mwenye umri wa miaka 70, huyu atapeperusha bendera ya chama tawala cha APC.
Na mgombea mungine anaitwa mh Atiku Abubakar mwenye miaka 75, ambae atapeperusha bendera ya chama cha upinzani cha PDP.
Ukiangalia umri na muonekano wao wote wanaonekana ni wazee, lkn ndo hivyo mfumo umeona hao ndio wanaofaa zaidi kuongoza taifa hilo linaloongoza kuwa na watu wengi Afrika, na pia ndio nchi inayoongoza kuwa na wasomi wengi vijana.
Sasa vijana sijui tunakwama wapi hadi kutokupewa nafasi kubwa kubwa kugombea.
Hata Marekani waliona wazee ndio wanaofaa safari hii kuwaongoza baada ya bwana mdogo Obama kumaliza muda wake.
Picha ya juu ni mzee Bola Ahmed Tinubu, na ya chini ni mzee Atiku Abubakar.
Kwa wasiofahamu, ni kwamba Nigeria inakwenda kufanya uchaguzi wake mkuu wa uraisi miezi mitatu ijayo.
Katika uchaguzi huo mkuu, mchuano mkali utakuwa kati ya vikongwe wawili wa nchi hiyo mh Bola Ahmed Tinubu mwenye umri wa miaka 70, huyu atapeperusha bendera ya chama tawala cha APC.
Na mgombea mungine anaitwa mh Atiku Abubakar mwenye miaka 75, ambae atapeperusha bendera ya chama cha upinzani cha PDP.
Ukiangalia umri na muonekano wao wote wanaonekana ni wazee, lkn ndo hivyo mfumo umeona hao ndio wanaofaa zaidi kuongoza taifa hilo linaloongoza kuwa na watu wengi Afrika, na pia ndio nchi inayoongoza kuwa na wasomi wengi vijana.
Sasa vijana sijui tunakwama wapi hadi kutokupewa nafasi kubwa kubwa kugombea.
Hata Marekani waliona wazee ndio wanaofaa safari hii kuwaongoza baada ya bwana mdogo Obama kumaliza muda wake.
Picha ya juu ni mzee Bola Ahmed Tinubu, na ya chini ni mzee Atiku Abubakar.