Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

@kulumaliyawananch, Serikali yenye vyama Vingi ni serikali legelege na inakuwa haina maamuzi magumu. Piga kazi mzee Baba.
 
Mtoa mada hujielewi, wangechukuaje wakati watendaji walifunga ofisi muda wote,? Rais angekuwa kweli Ni mtetezi Wa wanyonge watendaji wote walipaswa kufukuzwa kazi.
 
Hawa jamaa zangu hawakujiandaa vyema kwani nikichukulia mfano wa wilaya ya longido ni wagombea wawili tu ambao walichukua fomu kupitia chadema kugombea .
Tukisema hawakujipanga mtachukia?
POYOYO
 
Hawa jamaa zangu hawakujiandaa vyema kwani nikichukulia mfano wa wilaya ya longido ni wagombea wawili tu ambao walichukua fomu kupitia chadema kugombea .
Tukisema hawakujipanga mtachukia?
Wewe mjinga umejifungia huko lumumba na basha wako utajuaje ya mtaani??
 
Hawa jamaa zangu hawakujiandaa vyema kwani nikichukulia mfano wa wilaya ya longido ni wagombea wawili tu ambao walichukua fomu kupitia chadema kugombea .
Tukisema hawakujipanga mtachukia?
Mtahadaa sana watu ila maelekezo waliyopewa na mashinikizo yote wametueleza hao watendaji.. Na wengine walijutia sana hizo nafasi japo hawakuwa na jinsi.. Mfano walipotoka ikulu walitueleza kila kilichosemwa na miongozo waliyopewa na vikao vilivyofanyika baadae wakiwa na kamati za siasa za wilaya na kata, na nadhibitisha hili kwa Kigoma wilaya ya Kasulu, utaniluta mtaa wa Muilamvia..
 
1.Huna shughuli ya kueleweka
2.Haujulikani unakaa wapi
3.Sehemu ya makazi unayoishi haijasomeka vizuri
4.Chama chako hakijasajiliwa
5.Muhuri wa Chama chako haueleweki
6Uraia wako tunamashaka nao
7.Umejaza fomu vibaya
8 Ati zenu zinafanana
9 Kwenye R umeweka L
10 Hii picha ya lini?
11.Ni mlevi
12. Unakesi polisi
13. Ofisi imefungwa kwa wiki nzima

Naomba uniongezee sababu nyingine zilizotajwa kuwaengua wagombea Kwenye uchaguzi huu wa Serikali za mitaa.
 
Ccm tumezoea ushindi wa goli la mkono. Mambo ya kushindana sio utamaduni wetu
 
P
Pumbavu
 
 
Maajabu katika pita pita zangu kule Mabibo Maziwa- kuna ofisi ya Chama Na. 8, majira jioni vijana walikuwa kwenye mazoezi kama yale ya mchakachaka, wakiimba kwa hamasa wakati wanafanya vile kama wanajiandaa kwenda kwenye paredi za matamasha! Natumaini sio matayarisho ya kupambana na vyama vya upinzani hio tarehe ya uchaguzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…