Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

Hiki chama ni changu ila kimejaza vilaza hatari, mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
 
teh teh teh kicheko si furaha 😉😉ccm oyeeeeeeee naomba uhai nione mwisho wa season hii ya kata kata na kushinda bila kupingwa poleni ndugu zetu wa dam huku kwetu zenj tushayazoea zaidi ya hayo
 
Hiyo Ndio demokrasia

Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine

Vyama 11 vimeridhishwa na Zoezi la maandalizi ya Uchaguzi
 
Tuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura
 
Tuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura

Jiwe hajawahi kushinda kwa kura toka huko nyuma, leo ndio mkuu na haguswi na sheria atakubali uchaguzi? Safari hii anaweka mitume wake bila ridhaa ya wananchi ili ajiongezee muda wa kukaa madarakani. Huyo mleta mada yuko sawa kwa 100%.
 
Nahisi wewe unakitu unakilenga kitokee tofauti na maandishi yako.Pia huenda wewe sio mgombea ila lengo lako ni kuonekana wagombea wa ccm hawana busara wala hekima Kama wewe.
 
Alafu wanawakata wenzao kwa mitego ya hovyo kabisa, eti sababu Ni kuwa wameandika CHADEMA badala ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO, hivi hata aibu hamna? Hata kidogo?

Mbona nao kwenye form wameandika Chama anachotokea CHADEMA badala ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO. Ina maana wanatambua Kama CHADEMA Ni chama hicho hicho

Hii shida Sana yaani.
 
Wakati mwingine kitu ambacho hukijui ni bora uwe unakaa kimya.
 
Mkuu kwa hiyo hadithi yako inatufundisha nini?, mbaya zaid hata kuandika hujui nenda shule uliyosomea uwaambie wakurudishie ada yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…