Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM inatufanya tukiwa nje tuogope kusema tunapotokea. Mimi huwa nadanganya sana kuwa natokea Kenya, na mara chache South Africa.Huu upuuzi unapatikana Tanzania pekee
Mkuu, afanye Mara ngapi? C ndio haya amefanya yanalalamikiwa kila Kona?!....mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
Uliemtaji ndio kaamua hivyo kua hivyo,usisingizie wengineHiki chama ni changu ila kimejaza vilaza hatari, mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
Amina utukufu ni wake juu Jiwe anaetupa pumzi ya kuishi WadanganyikaHongera sana. Aabudiwe jiwe aliyekuweka kwenye hiyo nafasi.
Wakati yeye ndo kawatuma! Acha kuwaza kwa kutumia makalioHiki chama ni changu ila kimejaza vilaza hatari, mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
Na wewe pia una hoja?Tuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura
Mbona kesha kinunua tayari unataka mageuzi gani tena?Hiki chama ni changu ila kimejaza vilaza hatari, mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
Tuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura
Nahisi wewe unakitu unakilenga kitokee tofauti na maandishi yako.Pia huenda wewe sio mgombea ila lengo lako ni kuonekana wagombea wa ccm hawana busara wala hekima Kama wewe.Hatimaye nimefanikisha tena.
Mwaka jana kuna vijana walikuwa wananitisha eti hawatanipa kura zao kwenye nafasi niliyokuwa nayo ya uenyekiti wa mtaa, na baadhi waliniamsha usiku wa manane na nikichelewa kuamka wanasema eti walinipa kura zao niwanyenyekee.
Asante Magu, sasa wananchi hamtutishi na mikwara yenu,tumerudi madarakani, na huto tu kura twenu hatutuhitaji, mtupishe na mkome,mmetutesa sana miaka michache hapo nyuma, oooh! fanya kazi,vinginevyo tutakuondoa kwa kura, fyoko fyoko, sasa kwa taarifa yenu, huto tukura twenu mkae nato, tumepita bila kupingwa na hamuwezi kutufanya lolote
Mnatamba eti mamlaka yanatoka kwa wananchi, shwaini, asilimia 99 tumepita bila nyie
Sijakupangisha foleni unipigie kura wala sijauza sera yoyote kwako wala kukupa ahadi ya uchaguzi a.k.a ilani yangu, usiniulize mambo ya mabarabara,maji,afya na elimu na mengineyo, unaniuliza kwani ulinipigia kura? Niliuza Sera yoyote kwako? Unanibana kwa lipi mwanaizaya wewe? Akina mama mnaodundwa na waume zenu mnajaa milangoni kwangu usiku kisa mlinipa kura,mkome, safari hii wanamtaa na wanavitongoji na vijiji hamjatupa kura zenu,mkome kutusumbua
Ntarudi
Kigumu Chama cha mapinduzi
Tukitegemea polisi tutashindwa - KikweteHawatu wakue hata na mishipa ya aibu basi. Wanataka watuhaliribie taifa letu kwa uchu wao wa madaraka ili iweje? Mambo ya kishamba kabisa haya kutokea.View attachment 1258034