Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wapinzani kupinga kila kitu ndiyo justificatio ya watendaji wenu kuwakata wagombea wote wa upinzani ili ccm wapite bila sanduku la kura???Wapinzani wanavuna walichopanda waliwekeza kwenye siasa za mitandaoni na kupinga kila kitu