jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
inawezekana mmepigwa zongo hamzioni ofisi zikiwa waziWewe ni mjinga zaidi ya ujiitavyo jingalao.
Kwa nini ofisi zilifungwa wakati wa urejeshaji fomu?View attachment 1254945
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana mmepigwa zongo hamzioni ofisi zikiwa waziWewe ni mjinga zaidi ya ujiitavyo jingalao.
Kwa nini ofisi zilifungwa wakati wa urejeshaji fomu?View attachment 1254945
Aisome Ndugai na Rais John Pombe Magufuli!
Kwa mujibu wa takwimu hapo juu hakuna hata mmoja aliyepata kwahiyo badili mtazamo wakoWapinzani ni watu wa malallamiko siku zote wameshazoeleka sasa wanasema kuna walioenguliwa wakiopata wao wamefanyaje na ni haohao wapinzani wenzao?
CCM mnachokitafuta mtakipata kabla ya disembaJiji la mbeya kati ya mitaa181katika uchaguzi wa serikali za mitaa ccm imejinyakulia mitaa 152 ambapo imepita bila kupingwa.View attachment 1255081
Huu siyo uchaguzi bali ni ujinga wa CCM hakuna haja ya kupoteza mda CCM watangaze moja kuwa mfumo wa vyama vingi umekufa rasmi sasa CCM kimeamua kutawala kimabavu kama enzi ya makabulu wa Africa kusiniJiji la mbeya kati ya mitaa181katika uchaguzi wa serikali za mitaa ccm imejinyakulia mitaa 152 ambapo imepita bila kupingwa.View attachment 1255081
Ni zaidi ya ujinga