chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
be a MAN of reflection.GOOD THINGS come after excess use of oppression,power and force.Hence people work up all together and say NO MORE, This is a wake up call for all Tanzanians.Nimehisi kutokwa chozi kutokana na hii comment yako. Asante mkuu:
Ya, bila kusahauHaya yanafanyika chaguzi serikali za mitaa, uchaguzi mkuu utakuwaje? Ikumbukwe Mkurugenzi wa NEC ni kada wa CCM.
unapenda sana kufiwa ndiyo maana unawaza-waza msiba.Mpo kwenye Mazishi ya upinzani na mkae EDA kwa muda mtaibuka 2024 hivi walau mpate akili sio hizi
Poleni kwa msiba mzito wa upinzani uchwala
Ondoa shaka mkuu , kila aliyehusika atalipwa kwa kiwango anachostahiliHiyo hapo chini ni form ya mgombea wa CHADEMA lakini baada ya kukata imekutwa imeongezwa kwenye mwaka 1979, wao wameongeza '0' na kwenye jina la Hamimu ,wameongeza 'u'. Huku wengine wameombiwa form zao zimekata kwa sababu awana namba ya anuwani .ila mchezo mlioucheza auchezeki
Watendaji wa kata kumbukeni amtoweza kuinyamazisha sauti yenye machozi ata siku moja iyo amri mliyopewa atoweza kuzaa matunda
View attachment 1255416
Mumeo hajakusugua vizuri?Mpo kwenye Mazishi ya upinzani na mkae EDA kwa muda mtaibuka 2024 hivi walau mpate akili sio hizi
Poleni kwa msiba mzito wa upinzani uchwala
Halafu kanatumia tecno Y3 hadi leoHalafu kiazi kama ww ndio unacopy post za my son drink water kisha unajifanya unaweza kumjua user! Hizo siasa za kihanithi ndio zitaua chama kama cdm?
Tatizo wapinzani na nyie wapole sana mnaonekana mlishajikatia tamaa kabisa...nchi nyingine hapa wapinzani hawawezi kuwa kimya hadi muda huu..cha kushangaza hata Mbowe hajatoa tamko lolote hata la kulaani hadi sasaOndoa shaka mkuu , kila aliyehusika atalipwa kwa kiwango anachostahili