Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji30][emoji30][emoji30]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuu, yaani mtu apite bila kupingwa kisa kaandika Sheli badala ya Shely?Mgombea akikosea kujaza kwani hakuna anayehakiki?
Kwani ni mtihani huo kwamba mtu akikosea ndio ishatoka hiyo?
Hii sababu ya fomu kukosewa kujazwa ni sababu moja ya kipuuzi sana kwenye nchi inayofuata mfumo wa "demokrasia"
nyie sindio mpo mnasimama na ngosha kwa kila jamboWacha wachezee amani tu maana hawajui thamani yake.
CCM woooote hawajakosea ila upinzani tuuuu???jiulize kidogo mkuu fikirisha ubongo hapo ndo kwenye hojaKwa tuliofanya kazi na wanakijiji hii siishangai ni kawaida kabisa kukosea kuandika. Sasa kwakua hii ni vita ya kisiasa ukiona mtu kakosea kuandika unamuacha hivo hivo na ukilaza wake ili akaenguliwe mbele huko. Pia hawa vilaza ukiwasaidia kurekebisha walipokosea baadae huwa wasumbufu sana maana kuandika hawajui ila mdomoni wanaongea sana kama wake wenza.
Nadhani huyu alikuwa na kopi take ni vizuri akakate rufaaHiyo hapo chini ni form ya mgombea wa CHADEMA lakini baada ya kukata imekutwa imeongezwa kwenye mwaka 1979, wao wameongeza '0' na kwenye jina la Hamimu ,wameongeza 'u'. Huku wengine wameombiwa form zao zimekata kwa sababu awana namba ya anuwani .ila mchezo mlioucheza auchezeki
Watendaji wa kata kumbukeni amtoweza kuinyamazisha sauti yenye machozi ata siku moja iyo amri mliyopewa atoweza kuzaa matunda
View attachment 1255416
Halafu kiazi kama ww ndio unacopy post za my son drink water kisha unajifanya unaweza kumjua user! Hizo siasa za kihanithi ndio zitaua chama kama cdm?
Wanapambana vp wakati mechi imeisha kabla ya kuchezwa na mshindi anajulikana?Kosa ni lanani kwani ?
Kwa nini wapinzani wache kupambana?
Linatengeneza chuki ndani ya jamiiKweli kwa hapa inabidi vyombo vya usalama viwe imara.
I have a feeling kwamba jambo hili halitaisha vizuri.
Mtu anajaza asione kakosea mwaka au jina lake?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani ukiangalia unaona tofauti ya aina ya peni na uandishi. Hata mtoto wa primary haezi fanya ujinga kama huo kwenye ripoti akifeli.Mgombea akikosea kujaza kwani hakuna anayehakiki?
Kwani ni mtihani huo kwamba mtu akikosea ndio ishatoka hiyo?
Hii sababu ya fomu kukosewa kujazwa ni sababu moja ya kipuuzi sana kwenye nchi inayofuata mfumo wa "demokrasia"
ukitaka ucheke upasuke,chukua mgombea wa ccm hapa upinzani pale wape kitabu wasome ama wape imla (drs la 3b iyo ) alafu toa matokeo 90% ya ccm ni ujinga mtupu huku 90% ya upinzani watafanya vzrKimsingi wagombea wa CCM,wana akili sanaaa, hawawezi kukosea kujaza forms.
Hakuna makosa hapo, wamechukua peni wakaongeza herufi na namba hizo.. we huoni kama ni mchezo huo unachezwa.Kwa tuliofanya kazi na wanakijiji hii siishangai ni kawaida kabisa kukosea kuandika. Sasa kwakua hii ni vita ya kisiasa ukiona mtu kakosea kuandika unamuacha hivo hivo na ukilaza wake ili akaenguliwe mbele huko. Pia hawa vilaza ukiwasaidia kurekebisha walipokosea baadae huwa wasumbufu sana maana kuandika hawajui ila mdomoni wanaongea sana kama wake wenza.